Mbinu ya kijasusi - kutengeneza chuki dhidi ya Serikali ili kuacha ombwe la kiuongozi!

Mbinu ya kijasusi - kutengeneza chuki dhidi ya Serikali ili kuacha ombwe la kiuongozi!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Tunaposheherekea miaka 63 ya Uhuru ni vyema kama Taifa kutafakari katika maeneo kadhaa ambayo ni muhimu.
1-Tanganyika ilipata uhuru bila kumwaga damu yaani vita.
2-Kupitia Waasisi wetu hususani Mwalimu Nyerere tuliona njia bora ni kudai Uhuru wetu kwa njia ya kidiplomasia.
3-Hata baada ya kupata Uhuru bado tuliamini diplomasia ni njia bora ya kuendelea kuulinda Uhuru.
Hatukujielekeza katika kisasi dhidi ya wakoloni ama vibaraka wake.
4-Tulitambua udhaifu wetu kiuchumi na tuliheshimu sana Maguvu waliyonayo wakoloni.
5-Waasisi wetu hawakuwa wabinafsi kwani kuna baadhi ya mengi ambayo yangeweza kuleta maendeleo kwa haraka waliyaacha kama mikakati wakisubiri kizazi kijacho kuja kufanyia kazi kwa muktadha ule ule wa uvumilivu na subra.
6-Vita vya kagera viliturudisha nyuma kiuchumi na kihuduma lakini ilikuwa muhimu kwa kipindi hicho kupeleka ujumbe kwa majirani zetu na vibaraka wote wa wakoloni.

7-Tumetumia mbinu nyingi sana za mafanikio katika kukwepa majanga yatokanayo na proxy wars za wababe wawili wa kidunia.
mbinu hii imetuvusha hadi sasa na kutufanya tuendelee.
8-Imekuwepo na itaendelea kuwepo nia ovu ya wababe wa dunia kutaka tuingie kwenye mchafuko mwingine ili tu iwe rahisi kuchota rasilimali zetu kwa manufaa yao.
9-Bado upo mshangao mkubwa duniani wa mataifa katili yenye kuhodhi njia za uchumi duniani kuona kwa nini tuna amani hadi sasa...kumbuka amani ni msingi wa uchumi imara na taifa tishio kwa siku zijazo.
10-Upo sasa mkakati rasmi wa kuifanya Tanzania iwe unstable isitawalike au iingie kwenye machafuko.
11-Vijana wasomi ambao ni matokeo ya sera bora na mikakati mizuri wameongezeka na bado hatujaweza kuwa-accomodate katika sekta zitakazo wapa fursa.
12-Kama Taifa sasa inabidi kuja na sera mpya na mahsusi kwa vijana ambao wameelimika.
13-Ipo haja sasa ya kurejea mikakati tuliyowahi kuitekeleza hapo awali mfano sekta ya michezo na utamaduni,Sekta ya viwanda ,ujamaa na kujitegemea n.k ambapo itavyonza kundi hili kubwa linaloongezeka mtaani.
14-Kama Taifa pia inatupasa kuset standard ya nani anapaswa kuthaminiwa inapokuja swala la mafanikio mfano...tuwatambue vijana wenye uwezo wa kiakili shuleni,wenye uwezo katika michezo,wenye uwezo wa biashara,wenye uwezo wa sayansi n.k
Tuondokane na kasumba ya kuthamini wenye mafanikio yasioeleweka yamepatikana vipi.
Tufute role models mithili ya mwijako,babalevi na comedians wengine.

Naamini Profesa Palamagamba Kabudi anafaa kuhuisha uzalendo kwa vijana kupitia utamaduni(a strategic choice)


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!! TISA DISEMBA!!
 
Hapa mzee umetema point kasorohuo mstari wa mwisho..

Toka Nyerere watu walichaguliwa na kuteuliwa kwa Merits, angaalo kwa sasa naona nae Bimkubwa ameanza show za Merits...

Lakini zaidi tuheshimu maoni ya wananchi kwenye sanduku la kura .

Hizi blabla za 99% hazijawah kutokea kwa nchi yeyote inayothamini maoni ya wananchi kwenye sanduku la kura.

Demokrasia sio mpaka katiba mpya, ni uelewa na ustaarabu wa jamii husika .

Hizi teka teka watu nazo sio nzur..

Confrontation politics tumejitaid sana kuziepuka toka uhuru,na ndio maaba nchi yetu haigungamani na sera za nchi yeyote ..

Sasa majadiliano ya kina Mbowe uamekuwa weaponized na wanaharakati, ni muda wa kuvuba tunlichopanda

Kuna Bwana alkuwa haangalii cha merits wala demokrasia wala nini ni mwendo wa mupe muruke, mwishoni mwishoni mambo llyalimuwia magumu mpaka akatamani warudi kwenye drawing table, but it was indeed too late..

Bado Huko wilayani ma DED na ma DAS kibao hawaeleweki .. ila eventually tutafika.

Chimbo la Uchawa lifukiwe kabisa..
 
Kama Taifa tumeweza kuvuka kipimo kigumu sana cha kumpoteza Rais aliyekuwa madarakani
 
Hahaha hakuna merit yoyote, sikubaliani na Jenista Muhagama kuwa waziri wa afya, alipaswa awe mwalimu wa zamu.
 
8-Imekuwepo na itaendelea kuwepo nia ovu ya wababe wa dunia kutaka tuingie kwenye mchafuko mwingine ili tu iwe rahisi kuchota rasilimali zetu kwa manufaa yao.
Hii ni excuse ya wajinga tu, kwani sahivi tuna vita? Mbona wanajichotea mali tu kwa mikataba mibovu? Nani alikudanganya kuchota mali ni mpaka vita zianzishwe?
Naamini Profesa Palamagamba Kabudi anafaa kuhuisha uzalendo kwa vijana kupitia utamaduni(a strategic choice)
Kabudi ana uzalendo gani? Mbona hakuwakamata waliohusika na mikataba mibovu ya madini? Alikua waziri wa sheria mbona hakuhakikisha mahakama haziingiliwi na mhimili mingine? Huyo ni mganga njaa tu hana uzalendo wowote.
 
Kumbe hujui vita ya miaka hii ??
 
umenielewa ila kuna jungu umeliweka hapa

Muendee nje ya boksi na aliyoandika

10-Upo sasa mkakati rasmi wa kuifanya Tanzania iwe unstable isitawalike au iingie kwenye machafuko.
Mkakati unafanya na nani?
Tufute role models mithili ya mwijako,babalevi na comedians wengine.
Role models wapi? Na yule Steve na DP nae si wa Ikulu sasa, hiyo vipi? Ni kuitangaza Ikulu kupitia yeye au serikali au kisiasa?
 
Tunaposheherekea miaka 63 ya Uhuru ni vyema kama Taifa kutafakari katika maeneo kadhaa ambayo ni muhimu.
1-Tanganyika ilipata uhuru bila kumwaga damu yaani vita.
2-Kupitia Waasisi wetu hususani Mwalimu Nyerere tuliona njia bora ni kudai Uhuru wetu kwa njia ya kidiplomasia.
3-Hata baada ya kupata Uhuru bado tuliamini diplomasia ni njia bora ya kuendelea kuulinda Uhuru.
Hatukujielekeza katika kisasi dhidi ya wakoloni ama vibaraka wake.
4-Tulitambua udhaifu wetu kiuchumi na tuliheshimu sana Maguvu waliyonayo wakoloni.
5-Waasisi wetu hawakuwa wabinafsi kwani kuna baadhi ya mengi ambayo yangeweza kuleta maendeleo kwa haraka waliyaacha kama mikakati wakisubiri kizazi kijacho kuja kufanyia kazi kwa muktadha ule ule wa uvumilivu na subra.
6-Vita vya kagera viliturudisha nyuma kiuchumi na kihuduma lakini ilikuwa muhimu kwa kipindi hicho kupeleka ujumbe kwa majirani zetu na vibaraka wote wa wakoloni.

7-Tumetumia mbinu nyingi sana za mafanikio katika kukwepa majanga yatokanayo na proxy wars za wababe wawili wa kidunia.
mbinu hii imetuvusha hadi sasa na kutufanya tuendelee.
8-Imekuwepo na itaendelea kuwepo nia ovu ya wababe wa dunia kutaka tuingie kwenye mchafuko mwingine ili tu iwe rahisi kuchota rasilimali zetu kwa manufaa yao.
9-Bado upo mshangao mkubwa duniani wa mataifa katili yenye kuhodhi njia za uchumi duniani kuona kwa nini tuna amani hadi sasa...kumbuka amani ni msingi wa uchumi imara na taifa tishio kwa siku zijazo.
10-Upo sasa mkakati rasmi wa kuifanya Tanzania iwe unstable isitawalike au iingie kwenye machafuko.
11-Vijana wasomi ambao ni matokeo ya sera bora na mikakati mizuri wameongezeka na bado hatujaweza kuwa-accomodate katika sekta zitakazo wapa fursa.
12-Kama Taifa sasa inabidi kuja na sera mpya na mahsusi kwa vijana ambao wameelimika.
13-Ipo haja sasa ya kurejea mikakati tuliyowahi kuitekeleza hapo awali mfano sekta ya michezo na utamaduni,Sekta ya viwanda ,ujamaa na kujitegemea n.k ambapo itavyonza kundi hili kubwa linaloongezeka mtaani.
14-Kama Taifa pia inatupasa kuset standard ya nani anapaswa kuthaminiwa inapokuja swala la mafanikio mfano...tuwatambue vijana wenye uwezo wa kiakili shuleni,wenye uwezo katika michezo,wenye uwezo wa biashara,wenye uwezo wa sayansi n.k
Tuondokane na kasumba ya kuthamini wenye mafanikio yasioeleweka yamepatikana vipi.
Tufute role models mithili ya mwijako,babalevi na comedians wengine.

Naamini Profesa Palamagamba Kabudi anafaa kuhuisha uzalendo kwa vijana kupitia utamaduni(a strategic choice)


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!! TISA DISEMBA!!
Tuondokane na kasumba ya kuthamini wenye mafanikio yasioeleweka yamepatikana vipi.
Tufute role models mithili ya mwijako,babalevi na comedians wengine📌🔨💪🏿.
 
Tunaposheherekea miaka 63 ya Uhuru ni vyema kama Taifa kutafakari katika maeneo kadhaa ambayo ni muhimu.
1-Tanganyika ilipata uhuru bila kumwaga damu yaani vita.
2-Kupitia Waasisi wetu hususani Mwalimu Nyerere tuliona njia bora ni kudai Uhuru wetu kwa njia ya kidiplomasia.
3-Hata baada ya kupata Uhuru bado tuliamini diplomasia ni njia bora ya kuendelea kuulinda Uhuru.
Hatukujielekeza katika kisasi dhidi ya wakoloni ama vibaraka wake.
4-Tulitambua udhaifu wetu kiuchumi na tuliheshimu sana Maguvu waliyonayo wakoloni.
5-Waasisi wetu hawakuwa wabinafsi kwani kuna baadhi ya mengi ambayo yangeweza kuleta maendeleo kwa haraka waliyaacha kama mikakati wakisubiri kizazi kijacho kuja kufanyia kazi kwa muktadha ule ule wa uvumilivu na subra.
6-Vita vya kagera viliturudisha nyuma kiuchumi na kihuduma lakini ilikuwa muhimu kwa kipindi hicho kupeleka ujumbe kwa majirani zetu na vibaraka wote wa wakoloni.

7-Tumetumia mbinu nyingi sana za mafanikio katika kukwepa majanga yatokanayo na proxy wars za wababe wawili wa kidunia.
mbinu hii imetuvusha hadi sasa na kutufanya tuendelee.
8-Imekuwepo na itaendelea kuwepo nia ovu ya wababe wa dunia kutaka tuingie kwenye mchafuko mwingine ili tu iwe rahisi kuchota rasilimali zetu kwa manufaa yao.
9-Bado upo mshangao mkubwa duniani wa mataifa katili yenye kuhodhi njia za uchumi duniani kuona kwa nini tuna amani hadi sasa...kumbuka amani ni msingi wa uchumi imara na taifa tishio kwa siku zijazo.
10-Upo sasa mkakati rasmi wa kuifanya Tanzania iwe unstable isitawalike au iingie kwenye machafuko.
11-Vijana wasomi ambao ni matokeo ya sera bora na mikakati mizuri wameongezeka na bado hatujaweza kuwa-accomodate katika sekta zitakazo wapa fursa.
12-Kama Taifa sasa inabidi kuja na sera mpya na mahsusi kwa vijana ambao wameelimika.
13-Ipo haja sasa ya kurejea mikakati tuliyowahi kuitekeleza hapo awali mfano sekta ya michezo na utamaduni,Sekta ya viwanda ,ujamaa na kujitegemea n.k ambapo itavyonza kundi hili kubwa linaloongezeka mtaani.
14-Kama Taifa pia inatupasa kuset standard ya nani anapaswa kuthaminiwa inapokuja swala la mafanikio mfano...tuwatambue vijana wenye uwezo wa kiakili shuleni,wenye uwezo katika michezo,wenye uwezo wa biashara,wenye uwezo wa sayansi n.k
Tuondokane na kasumba ya kuthamini wenye mafanikio yasioeleweka yamepatikana vipi.
Tufute role models mithili ya mwijako,babalevi na comedians wengine.

Naamini Profesa Palamagamba Kabudi anafaa kuhuisha uzalendo kwa vijana kupitia utamaduni(a strategic choice)


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!! TISA DISEMBA!!
Naamini Profesa Palamagamba Kabudi anafaa kuhuisha uzalendo kwa vijana kupitia utamaduni(a strategic choice)
No.noo.book! Huyu hapana ana akili za kufaulu tu mitihani.. Hana clean sheet linapokuja suala la kusimamia taaluma
 
Back
Top Bottom