Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu naomba ushauri ili nipate gpa nzur ktk masomo yangu ya chuo natarajia kuanza mwaka wa kwanza faculty ya b.a with education or (baed) asanteni
Soma kwa bidii kwa kuelewa. Mjue profesa wako, msikilize vizuri atoapo maelekezo.
Siku moja prof wangu alituombea kabla ya mtihani: "e mwenyezi Mungu, nakuomba uwasaidie wanafunzi hawa kufanya mtihani wao vema, uwape kumbukumbu nzuri ya mambo yote waliyo yasoma kwa bidii"
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
GPA nzuri muhimu.at least 3.5 mi nimeona umuhimu wake baada ya kumaliza chuo najilaumu sana nilikuwa napoteza muda mwingi hadi nikatoka na GPA ya 2.1Kwanini unataka GPA nzuri?