Mbinu za kubana matumizi ya mafuta kwenye gari yako

Mbinu za kubana matumizi ya mafuta kwenye gari yako

Sijaelewa kidogo kwani katika automatic gear kuna gear ngapi .
Just for my normal understanding ukiweka D unaruhusu Gari kutembea hadi gear ya 3 but ukiweka d2 unaruhusu gar kutembea hadi gear ya 2 yani 2nd gear.
Na ukiweka L unaruhusu Gari kutembea na gear ya chini kabisa ambayo ni 1 ..
Kwamfano nikiweka overdrive nikiwa L Gari litaongeza kasi au lita maintain steady speed?
OD ni gia ndogo zaidi ya 4 au 3 katika gari lako maana yake kuanzia gia na.5 kuendelea inamaanisha ume overdrive gear za kawaida yaani umevuka mzunguko wa crankshaft hivyo differential zinazunguka mbio zaidi kuliko mzunguko wa injini

na ile ya AC mafuta yatatumika zaidi kwenye injini na utakuwa nzito kwani kuna belt inayozungusha mitambo ya Air condition ambayo inaendeshwa na injini
 
Mi nkajua jinsi ya kubana kipochi manyoya
 
Plug aisee gari langu lilikuwa linakula mafuta hatari. Pia lilikuwa linamis-mis sana.
Kumbe shida ilikuwa plugs...baada ya kubadilisha plugs gari ikawa fresh haina miss na hata ulaji mafuta ukapungua pia ule mtetemo wa gari ukaondoka kabisa maana ilifika wakati ukiwa umeweka parking especially kwenye Traffic light ilikuwa inatetemeka sana.
 
Ukihangaika sana jinsi ya kubana mafuta ya gari yako ujue kiuchumi ulikuwa bado hujafikia level ya kununua gari, umeharakisha.
. Mtu uje utuulize vipuli na matatizo ya Magari au advantage technology ya kufanya uinjoi drive ! Mafuta mafuta [emoji1008][emoji1008][emoji1008][emoji1009][emoji379]
 
Mbona ukizima engine bado Unapata kiyoyozi

Vingine muwe mnajadili katika mfumo wa kuuliza kama huna uhakika navyo...

Kwenye gari mfumo wa gesi ya ac unauhusiano wa moja kwa moja na mzunguko wa engine kwa maana compressor ya gesi ya ac inazungusgwa na belt ambayo inategemea mzunguko wa engine hivyo unapowasha ac engine inakua imeongezewa mzigo na hvyo kuongeza ulaji wa mafuta kwa kiasi flani..

Ukizima gari then ukawasha ac kinachotokea ni kwamba feni tu ndo inakua inaleta upepo lakin baridi haiwezi kutoka kwasababu compressor haiwez kuzunguka kutoa gas kama gari imezimwa ni sawa na umewasha gari ukawasha ac lakini pale kwenye kitufe separate kilichoandikwa ac ukaweka off na utaona kuna kataa flan ka green kamezima lakin upepo unatoka hapo ni fen tu inafanya kazi na huwez pata ubarid na kama upo sehemu yenye joto huwez kaa kwenye hiyo gari vioo vikiwa vimefungwa kwa hata dakkka 15
 
Vingine muwe mnajadili katika mfumo wa kuuliza kama huna uhakika navyo...

...
Nilisahau alama ya kuuliza. Hata hivyo neno mbona hutumika kuonyesha kutaka kujua zaidi kwa mtu anayelitumia.
=====
Hata hivyo, asante sana kwa majibu murua.
 
Hiyo ya kutumiq Kiyoyozi sidhani kama kweli. Kww ninavyojua Kiyoyozi hakitumii mafuta kinatumia umeme.
Ndio inatumia umeme kutoka kwa betri,lakin kuichaji betri mfululizo kunaongeza workload kwenye engine,hivo engine ikatafsiri huo mzigo kwa kuufidia kwa mafuta.
 
Ukihangaika sana jinsi ya kubana mafuta ya gari yako ujue kiuchumi ulikuwa bado hujafikia level ya kununua gari, umeharakisha.
Kumiliki gari,haimaanishi kuwa mzembe kwenye jasho lako kwa kutumia hovyo.
Gari ni kifaa na kukurahisishia maisha.
 
Plug aisee gari langu lilikuwa linakula mafuta hatari. Pia lilikuwa linamis-mis sana.
Kumbe shida ilikuwa plugs...baada ya kubadilisha plugs gari ikawa fresh haina miss na hata ulaji mafuta ukapungua pia ule mtetemo wa gari ukaondoka kabisa maana ilifika wakati ukiwa umeweka parking especially kwenye Traffic light ilikuwa inatetemeka sana.
Mtetemo ni hatari sana kwenye gari.
Ina pasua Engine mounting.
Ina legeza vyuma vya gari.
Ina haribu gari mno
 
X-trail sijui walitengeneza kwa lengo ganI. Gari nuksi kama Hamisa Mobettttoz
 
Back
Top Bottom