Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??
ukiona mkeo anakupiga sachi ujue hutimizi majukumu yako kama baba na kiongozi wa familia.....
Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??
Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??