Mbinu za kuficha pesa Mke/Mpenzi asijue...

Mbinu za kuficha pesa Mke/Mpenzi asijue...

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??
 
Mimi naficha bank Boflo...kule wanaiba CEOs kama wamekula mpaka mtaji na bank ikafilisika
 
Boflo mie naficha kwenye mfuko wa skintaiti :flypig:
 
Last edited by a moderator:
hivi eti unasachi wallet ya hubby ili umkwapulie hela..............upon my dead body kama utanipa mwenyewe sawa nitapokea wala sitakuomba kamwe. ntafuta za kwangu tena za kutosha kunifanya niwe na access ya kila nikitakacho.

naficha za nini? tena muda mwingine naweza kuchungulia wallet unakuta business cards tu unagundundua kuwa kachacha unachofanya unatafuta japo box moja unamuekea akiamka naye awe na jeuri kama mwanaume.

halafu Boflo umeshawah kuchacha ww? hapo ndipo utaona kwamba kuwa huru kwa mwenzi wako kama huna tu ni bora sana kuliko kuwa msiri na mnyimi.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??

Mmmh hivi huyo ni mke kweli ambaye mnapanaga muwe na maendeleo ya pamoja katika familia?Sasa unaficha za nini na kwa ajili ya nani?
 
Mi huwa naweka hela ambayo nipo tayari kumpa kwenye wallet na nyingine naweka tu mfukoni. Kwa kuwa nimemzoesha hela inakaa kwenye wallet tu, Huwa anakimbilia kwenye wallet baasi. akikuta 15 huwa anachukua 5 ananiachia 10 ya matumizi yangu eti kwa kunionea huruma. Kumbe hajui kwenye mfuko nina zaidi ya kilo na upuuzi.
 
Mi sifichi naweka kwenye dressing table huku akiniona kabisaa.
 
Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??

Symptoms of a dying marriage....
 
Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwasachi waume zao pindi wanapowaambia kuwa
hawana pesa, mimi binafsi yamenikuta, mwanzoni alikuwa aki search na akikuta anakomba zote au
ananiachia kidogo, Sasa hivi nimepata ujanja, huwa naficha ndani ya viatu au chini
ya kiti cha gari, Je wewe una mbinu nzuri zaidi yangu??


Njia nzuri ya kuficha pesa zako kama mkeo/mumeo anatabia ya kusachi ni kumpa pesa zote unazopata akowekee
Pia akikisha anafahamu kipato chako chote, account zako na awe signatory, na pia umkabidhi cards za ATM na umpe pin number zake. Nakama una M-pesa, Tigo - pesa, Airtel na nyinginezo, pia umpe pin number zake.
Ukifanya hivyo utakuwa umemaliza tatizo.
 
yaaaah mbinu ni nyingi kuna kutumia zote ukarud home empty handed,nayo ni mbinu
 
Back
Top Bottom