Kipindi cha mavuno ni miezi ipi?Passport ya muda mfupi bei rahisi tu 50k ya miezi mitatu kugonga kila kitu kama 60k ivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka potelea uko uko ni wewe utajua sasa jinsi ya kukwepana nao migration japo Kwa Zambia pembeni pembeni kidgo awaingi na kipindi cha mavuno Zambia ndo hela nje nje.. Naongea kutokea Zambia
Ajikaze apate passport ya muda mrefu 10yrs ataingia nchi zinazotuzunguka vizuri akitafuta fursa vizuri tu cha muhimu awe anafuata taratibu za kupata permit kwa muda anaokaaPassport ya muda mfupi bei rahisi tu 50k ya miezi mitatu kugonga kila kitu kama 60k ivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka potelea uko uko ni wewe utajua sasa jinsi ya kukwepana nao migration japo Kwa Zambia pembeni pembeni kidgo awaingi na kipindi cha mavuno Zambia ndo hela nje nje.. Naongea kutokea Zambia
Kongo wanaroho mbaya saaana kaka me nnaexperience ya nchi kadhaaCongo pekee ila ishu security
Wakati Emergency traveling document ni 30,000/= tuSasa mpaka kwenda Kenya Rwanda sijui congo unataka njia za panya? Mbona ukifata process ni rahisi sana
Fata utaratibu, unaenda kutafuta pesa bado unakua na uoga wa kukimbia vyombo vya sheria ugenini? Mbona mnapenda kujitesa?
Kuanzia, mayKipindi cha mavuno ni miezi ipi?
Imekaa tu Sawa nayoAjikaze apate passport ya muda mrefu 10yrs ataingia nchi zinazotuzunguka vizuri akitafuta fursa vizuri tu cha muhimu awe anafuata taratibu za kupata permit kwa muda anaokaa
Uko tu Sawa me ni mesema 50k Kwa maana ya chapu tu unaondoka nayo apo umepushWakati Emergency traveling document ni 30,000/= tu
Kaka kwenye hili naomba unipe mungozo wa eneo linaitwaje na nikisha vuka boda napakia gari eneo gani kufika uko.. niko tayari kupeleka mitumba angalao huo mtaji ulio sema ninao.Kama urapata walau laki 5(pesa ya kubangaiza) nenda Msumbiji sehem za Machimbo toka dar na bidhaa hata kama ni nguo,viatu ama vipodozi...maana kuna Machimbo mengi sana na watanzania wamejaa + wenyeji na mataifa mengine..kikubwa pata kubali cha muda maana kwao ishu ni ufate utaratibu...wengi wametoboa sana msumbiji kupitia Biashara sehem za Machimbo ya dhahabu na Rubi
Hapa Zambia nimeipenda.. issue ni eneo gani hasa nikienda nishukie na uzoefu wako kwenye usafiri nikitokea Dar mpak zambia gari gani zinaenda na je nauli inachezea bei gani?Kongo wanaroho mbaya saaana kaka me nnaexperience ya nchi kadhaa
1) angola tatizo migration Lakini ajira zipo mfano kama unajua kutafsili kichina hata Leo hii ajira zipo na FULSA ni nyingi
2) kongo Hela IPO ila Kwa biashara za mazao kama dagaa(kauzu) maharage nk
3) Zambia pesa IPO nyingi ila Kwa biashara ya mavazi au urembo au uwe fundi cherehani pia zambia ukiwa fundi garage pia mpunga ni mwingi
4)Kenya ni ngumu kumeza
5) Uganda ni ngumu kumeza pia
6) msumbiji ni kiumeni saaana
7) Zimbabwe peleka mazao ya chakula lakin TFDA yao ni Very tough ahsey
8) Botswana Nenda na ujuz Wote ule utakuweka mjini
9) Namibia pia kama Botswana
Kuhusu Bei za vyumba bwana kunabaadhi ya nch ni kama bongo lakin nch za kusini kama namibia Angola Botswana n very tough
Kwa dar tunduma nauli ni 40-50 Toka apo unaingia nakonde hapo nakonde sio pazuri saana Kwa biashara japo panalipa saana Kwa biashara za umachinga zipo chimbo kama copper belt,Lusaka, solwez uko mto zambez mpaka wa Zambia na angola halaf Kuna sehem inaitwa kazungula hapo napo ni pazuri pia pia kunasehem inaitwa mpulungu hapo niziwa Tanganyika upande wa Zambia nako kumechangamka saaana na uko ziwani Toka nakonde nauli ni kama 9000 tuu ni sehem ambayo unaeza enda hata kufanya savei then ukarudi kujipanga nipazuri saana kibiasharaHapa Zambia nimeipenda.. issue ni eneo gani hasa nikienda nishukie na uzoefu wako kwenye usafiri nikitokea Dar mpak zambia gari gani zinaenda na je nauli inachezea bei gani?
Ni kuanzia miezi ipi mkuu?Passport ya muda mfupi bei rahisi tu 50k ya miezi mitatu kugonga kila kitu kama 60k ivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka potelea uko uko ni wewe utajua sasa jinsi ya kukwepana nao migration japo Kwa Zambia pembeni pembeni kidgo awaingi na kipindi cha mavuno Zambia ndo hela nje nje.. Naongea kutokea Zambia
Ni kuanzia miezi ipi mkuu?Passport ya muda mfupi bei rahisi tu 50k ya miezi mitatu kugonga kila kitu kama 60k ivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka potelea uko uko ni wewe utajua sasa jinsi ya kukwepana nao migration japo Kwa Zambia pembeni pembeni kidgo awaingi na kipindi cha mavuno Zambia ndo hela nje nje.. Naongea kutokea Zambia
So hakuna aliyopo uko kwenye nchi tajwa ata anipe majibu ya alivyo ingia na maisha yakoje uko na ana dhani mtu akiingia afanye issue gani yenye mzunguko wa uhakika wakipato?
Ni kuanzia miezi ipi mkuu?Passport ya muda mfupi bei rahisi tu 50k ya miezi mitatu kugonga kila kitu kama 60k ivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka potelea uko uko ni wewe utajua sasa jinsi ya kukwepana nao migration japo Kwa Zambia pembeni pembeni kidgo awaingi na kipindi cha mavuno Zambia ndo hela nje nje.. Naongea kutokea Zambia
Kuna machimbo mengi snaa na yana hela...pakuanzia unaweza chagua kwenda Msumbiji kupitia Mtwara kuna sehem kuna daraja la kuvuka kisha kuna usafiri wa kwenda machimbo ya Rubi panaiywa MITEPWESHI..Kaka kwenye hili naomba unipe mungozo wa eneo linaitwaje na nikisha vuka boda napakia gari eneo gani kufika uko.. niko tayari kupeleka mitumba angalao huo mtaji ulio sema ninao.
Jamaa umemaliza kila kitu it's trueKongo wanaroho mbaya saaana kaka me nnaexperience ya nchi kadhaa
1) angola tatizo migration Lakini ajira zipo mfano kama unajua kutafsili kichina hata Leo hii ajira zipo na FULSA ni nyingi
2) kongo Hela IPO ila Kwa biashara za mazao kama dagaa(kauzu) maharage nk
3) Zambia pesa IPO nyingi ila Kwa biashara ya mavazi au urembo au uwe fundi cherehani pia zambia ukiwa fundi garage pia mpunga ni mwingi
4)Kenya ni ngumu kumeza
5) Uganda ni ngumu kumeza pia
6) msumbiji ni kiumeni saaana
7) Zimbabwe peleka mazao ya chakula lakin TFDA yao ni Very tough ahsey
8) Botswana Nenda na ujuz Wote ule utakuweka mjini
9) Namibia pia kama Botswana
Kuhusu Bei za vyumba bwana kunabaadhi ya nch ni kama bongo lakin nch za kusini kama namibia Angola Botswana n very tough