Mbinu za Kuishi muda mrefu bila Kufa kwa Njaa hata kama huna kazi

Mbinu za Kuishi muda mrefu bila Kufa kwa Njaa hata kama huna kazi

hi story pori? au hujui unachosema. huoni kama hii mbinu inamsaidia mtu ambaye sasa hana pesa? wewe wape mbinu ya kutafuta pesa mimi ntawasaidia wale ambao hawajaweza pata pesa bado.
We badala uwape vijana mbinu za kuingiza pesa, unatuletea stori pori hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hapo hii inakuwa not applicable. na inakuaje una mke na watoto haalfu bado hujajipanga vizur? anyway hilo linafanyiwa kazi pia. nadhan utapata mrejesho muda si mwingi.
Swali zuri sana.
 
hapa inakuwa bahati mbaya inabidi nawe sasa ujue nyumba za kutembelea maana si kila nyumba itakusaidia. ndo maana nikasema uwe na ratiba na umefanya ka research kadogo.
Siku hizi nyumba nyingi wanaitoa neutral yaan wanapiga dash usije shangaa unasubiri had saa kumi hakuna msosi wala nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tukifanana katika kutoa ushauri itakuwa haina maana.. wewe toa ushauri wako nami natoa wangu.

Ulianza vizur kumshauri mtu awatafute marafiki nilitegemea ungesema mtu awatumie marafiki hao kujifunza namna ya kufanikiwa au namna ambavyo wanapata ugali badala yake unawashaur watu wavizie ugali wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alieandika inaonekana ni msomi mzuri tu tena mwenye kujua mpaka sheria....mfano matumizi ya neno "plagiarism" ila ameandika!!!!
 
watu wenye akili huamini kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake. na wanayaheshimu kutokana na mtizamo wake. ningesema ulichosema wewe hapo nisingekuwa mimi. ngekuwa wewe kitu ambacho mimi sikutaka. nataka nibaki kuwa mimi na wewe uwe wewe. maoni yangu kama hayakufai unaaachana nayo unafanya yako. mbona haijaandikwa kula ni lazima uishi hivi? wewe washauri wakabebe magunia. mimi nawashauri kitu kingine. watachagua wao.

Dume zima unatoa ramani za ganda la ndizi?I thought ungedadavua namna ya kujidamka sokoni Sambusa au Buguruni saa kumi kupakua viazi na matikiti ?Am disappointed
 
mla vya watu mjanja haji kulia kwako tena akakaa mpaka usiku. akija kwako anagonga moja mbili anawah zake na hatak hata siku moja mkutane au mfahamiane. hili chukua toka kwangu.
Hizo janja za wala wake za watu wajinga wengi! Ulisoma naye ok sasa kinachokuweka mchana hadi usiku ni nini? Utapotezwa
 
waambie hawa rondo. watuulize sisi watoto wa mjini tunafaham maisha ya watu yalivyo. watu wanaunga unga na wanasonga mbele.

Mnamshangaa huyo...huku kwetu uswazi kuna watu kazi yao kupita kwenye mazishi na hitma kula mpunga kila siku! Nakumbuka kuna mmoja yeye huwa anamkamata nzi halafu anamuachia akiruka mashariki au magharibi jamaa anajua mpunga uko huko huko.....Mfukoni ana ndizi mbivu na pilipili mbuzi mbili!
 
hapo ukinielekeza sehemu ambako zinapatikana pesa naenda nami kutafuta..miaka yote nasikia watu wanatafuta pesa ila hawajawah nambia sehemu flan inasemekena ukitafuta pesa zipo. unaishi hivi wakat huo huo njiani unatafuta pesa.
Sasa utatafuta pesa saa ngapo
 
Dalili za kufa masikini huanza taratibu kama hizo steps zako

Mpe anae kupa
 
IF YOU WANT TO UNDERSTAND THIS THREAD GET UP FROM WHERE YOU ARE AND MOVE TO ANOTHER ANGLE. YOU WILL SEE SOMETHING. THANK YOU BY THE WAY.
Alieandika inaonekana ni msomi mzuri tu tena mwenye kujua mpaka sheria....mfano matumizi ya neno "plagiarism" ila ameandika!!!!
 
wanakufa hata matajiri. kwa nini usiseme dalili za kuishi maskini? lakini pia hujui "mkaa bure si sawa na mtembea bure" unapotembea tembea huko unaweza ukaokota. kufa kupo pale pale. maisha haya ni bora ujilie tu then urare mbere
Dalili za kufa masikini huanza taratibu kama hizo steps zako

Mpe anae kupa
 
Back
Top Bottom