Mbinu za kupata mitaji ya biashara

BAADA YA KUJADILIANA INAKUWAJE! HALAFU NISIVYOPENDA KUSHAULIWA! KAMA BENKI HAWAKOPESHI NA NIMEWAAMBIA WASIKOPESHE MTAFANYAJE
 
Kama una afya nzuri ya mwili na akili kijana usiye na ajira unaweza kupata mtaji mdogo wa kuanzia, shida kubwa wengi wanafikiria kuanza na mamilioni, mimi nakupa wazo, kama huna ajira utakuwa unaishi kwa kutegemea mtu mwingine, ukiwa na uwezo wa kula na kulala bila kulipa anza kutafta vibarua, tunza pesa usitumie hadi ufikie malengo, tazamia miradi midogo inayofanywa maeneo yako, iga kama hunauwezo wa kubuni, utapata faida na faida hy itakupeleka kwenye lengo!nguvu zako ni mtaji na aibu yako ndiyo kikwazo kikubwa! Jishushe ipo siku utapanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…