Hhaaaaaaaa tatizo wanakosea kitu kimoja cream ya uson si ya kupaka miguun .....Kunashoga Angu miguu imegoma kutakataa usoo Kama muarabu na mashungii unaweza ukasema kashuka kutoka Oman na weupe ulee shuka Kwenye miguu Sasa πππ±πππ πππππ±π± sijui apake nini atakate
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tena za moshi zile ngumuKuna watu wana misugu kama ndizi za kuchoma,.mwee acha wajaribu labda zitapungua
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji85] duuuh[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tena za moshi zile ngumu
Ndizi za kuchoma.Kuna watu wana misugu kama ndizi za kuchoma,.mwee acha wajaribu labda zitapungua
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji85] [emoji85]Ndizi za kuchoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo mna waaminisha kua ngozi nyeupe ndio uzuri yaani sisi kwa sisi tunajibagua ndio maana wanajichubua,Na kwanini wajichubue[emoji26] [emoji26]