kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Wadau mliobobea katika nyanja hiyo naombeni kunishauri jinsi ya kupata usajili wa kuwa Mshauri wa Kodi.Ni vema ukatoa na ushauri jinsi ya kuondoa vigwazo kama vipo hasa TRA muda gani unaweza chukua kupata kibali baada ya kuwasilisha maombi.
I salute you.
I salute you.