Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Maisha ya kusoma yana vituko vyake.
Moja ya vitu ambavyo havijawahi kufanya kazi kwangu wakati wa kusoma ni hii mbinu ya kuweka miguu kwenye beseni la maji, nakumbuka siku moja baba mdogo alinihadithia kwamba yeye wakati wake alikuwa anatoboa ozone kwa kutumia hiyo njia,siku moja nikaona isiwe tabu acha na mimi nikajaribu kama ni kweli , basi asikwambie mtu nusu saa haikupita nikapitiwa na usingizi mzito balaa, nimekuja kushtuka daftari zinaelea kwenye maji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mbinu pekee iliyokuwa inafanya kazi kwangu ni kutumia kahawa, nakumbuka nilikuwa natumia africafee kile kipact kidogo,kabla ya kwenda kutoboa, basi kuna kipindi nilifululiza kama week mbili natoboa tu,siku moja naingia prepo nikaanza kuona maruweruwe ikabidi nijipe likizo ya kusoma kama week.[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Moja ya vitu ambavyo havijawahi kufanya kazi kwangu wakati wa kusoma ni hii mbinu ya kuweka miguu kwenye beseni la maji, nakumbuka siku moja baba mdogo alinihadithia kwamba yeye wakati wake alikuwa anatoboa ozone kwa kutumia hiyo njia,siku moja nikaona isiwe tabu acha na mimi nikajaribu kama ni kweli , basi asikwambie mtu nusu saa haikupita nikapitiwa na usingizi mzito balaa, nimekuja kushtuka daftari zinaelea kwenye maji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mbinu pekee iliyokuwa inafanya kazi kwangu ni kutumia kahawa, nakumbuka nilikuwa natumia africafee kile kipact kidogo,kabla ya kwenda kutoboa, basi kuna kipindi nilifululiza kama week mbili natoboa tu,siku moja naingia prepo nikaanza kuona maruweruwe ikabidi nijipe likizo ya kusoma kama week.[emoji1787][emoji1787][emoji1787].