Mbinu za kuwa katika mahusiano na mwanafunzi na ukabaki salama

Mbinu za kuwa katika mahusiano na mwanafunzi na ukabaki salama

kwa hizo mbinu zako...Je umeshabandua wangapi hadi sasa?

halafu hiv una dada au binti mwanafunzi..?
Hizo ni mbinu nilizozitengeneza kutoka kwa marafik zangu waliobambwa na wanafunz mimi huwa sijihusushi na hayo masuala ndo maana nikawashaur waache.

Anyway sina mtoto kuhusu Dada zangu wote walishaolewa mkuu
 
'Ukiona sketi za wanafunzi zinakuvutia mshonee mkeo'
usipompa ujauzito ukienda miaka 30 jela + uliyonayo kama 30 unatoka na 60 (hutokuwa na hamu tena na huenda ushakalia msumari upo functioless)
Waogopeni wanafunzi kama ukoma, SHAURI YAKO
 
Utoa ushauri wakujitahiri mwenyewe bila kua na ganzi tena kwa kisu butu
 
Jana kabambwa mmoja akiwa kwenye mgegedo tena gheto la binti na tayari ameshanyolewa kiduku kawa pararinho anasubiri mchakato wa kupewa mvua zake tu. Kama naliona jicho la pilato linavyomwangalia kwa tathimini kubwa
 
Kama ndio tabia yako nikushauri ujifunze mbinu za kuishi jela
 
Jana kabambwa mmoja akiwa kwenye mgegedo tena gheto la binti na tayari ameshanyolewa kiduku kawa pararinho anasubiri mchakato wa kupewa mvua zake tu. Kama naliona jicho la pilato linavyomwangalia kwa tathimini kubwa
Duh!!!pole yake.
 
Makubwa wenzako wamejazana kibao, uende kuhangaika na wanafunzi... ni dhambi, ni laana, ni aibu, na ni vibaya sana...


Inasikitisha sana...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom