Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
- Thread starter
-
- #21
Hizo ni mbinu nilizozitengeneza kutoka kwa marafik zangu waliobambwa na wanafunz mimi huwa sijihusushi na hayo masuala ndo maana nikawashaur waache.kwa hizo mbinu zako...Je umeshabandua wangapi hadi sasa?
halafu hiv una dada au binti mwanafunzi..?
Kweli kabisaSawasawa mkuu 30 sio poa
Duh!!!pole yake.Jana kabambwa mmoja akiwa kwenye mgegedo tena gheto la binti na tayari ameshanyolewa kiduku kawa pararinho anasubiri mchakato wa kupewa mvua zake tu. Kama naliona jicho la pilato linavyomwangalia kwa tathimini kubwa