Mbinu za kuwa msiri

lee jack

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,062
Reaction score
1,871
Habari zenu Wana jukwaa,

Kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naombeni mnisaidie mbinu za kua msiri.

Baadae ya kuwa mtu mzima kKuna namna ninawaona ndugu na watu wa karibu kama watu wenye choyo na wengi hawapendi mtu afanikiwe iwe ni ndoa kazi au biashara.

Sasa ninaomba mnipe mbinu gani nitumie ili maisha yangu yawe ya Siri nimeshahangaika sana Kuna vitu nisipowashirikisha Ina kua ni ugomvi hivyo inanilazimu niwaeleze mipango yangu yote hiki kitu sikipendi na hata nikiwama hawana msaada wowote ule.

Nifanyaje wasijue maisha yangu na ukizingatia ni watu wangu wa karibu

Natanguliza shukran.
 
Hamnaga siri

Kwann unawaeleza mipango yako ? Au ukiwaeleza wanakusaidia ?

Kama hawakusaidii chochote Haina haja ya kuwaeleza habari zako,jitahidi kua mkimya wewe ni mtu mzimaaa
Sasa ni watu ninaoishi nao hata nikipata dili la kazi wanataka nijue ni wapi nafanyia hiyo kazi mpaka mshahara Mimi sipendi na siku nisipokua na ishu wanakaa mbali na Mimi hata mia yao siioni
Dah😭
 



Nothing is hidden in this LIFE.

Unapoamua kuweka jambo secret hilo jambo linabidi kuwa Positive.

Sio unahangaika kuficha siri za Uzinzi , ushirikina .


Maana maisha yanahitaji SIRI ambazo ni chanya Sana.


Kuhusu watu kutokupenda mafanikio yako huo ni mtazamo wako ambao ni negative attitude .

Unabidi kuthamini Sana mchango wa kila MTU anayekuzunguka hata maadui zako wanakujenga ili ukue na kuendelea.

Ntarudi na kuendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…