Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu wanafamilia wa jf kwa wale wataalam wa masuhala kama haya ya kutoa mbinu na namna ya kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpnzi wako naomba 2saidiane jamani tafaaadhari.:lol:
sijakuelewa kutokanae kivipi? yani kwenda kula nakurudi au kufanya nae majambozzzz?
Eti tanzania bila ukimwi inawezekana,,
mhhhhhhhhhhhhhhhhh
Ongea mkuu, acha kulia kikubwa kubwa!