kamleez gerald
Member
- Feb 26, 2012
- 58
- 62
ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji.
Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka (2020)
(1) MPANGO WA ZITTO(ACT) TANZANIA BARA (2020)
ZITTO ZUBERI Kabwe anatambua kutaka kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania ni vita dhidi ya CHADEMA na ambayo sio rahisi badala yake amechagua kutumia njia ya mzunguko kwa kuanza na siasa za Zanzibar ili achukue nafasi ya CUF huko na baadae ndio atarudisha mashambulizi Tanzania bara
ACT haina mpango wa kusimkia mgombea wa urais Tanzania bara.
Katika uchaguzi (2020) tofauti na ilivyokuwa 2015 ZITTO Kabwe yuko tayari kujiunga na UKAWA kwa 100% na hata kupoteza majimbo yote bara (aweza bakiwa na moja) ila tu aruhusiwe kusimika wagombea wa urais na Ubunge Zanzibar.
Hivyo Zanzibar mchuano utakuwa kugawana majimbo kati ya CUF na ACT wote wakisimamisha wagombea dhidi ya CCM
(2) ACT ZANZIBAR(2020)
Mpango wa sasa wa Ziitto Kabwe ni kujiimarisha kisiasa ZANZIBAR..ndio maana amepanga safu yake ya mashambulizi kwa style ya kidini katika ngazi zote za juu za uongozi kuanzia Mwenyekiti mpaka washauri wa chama.
Unaweza kuona hapa-:
Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana! - JamiiForums
Zitto anajua fika asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na anatambua nguvu ya MAALIM SEIF katika siasa za Zanzibar hivyo atamtumia kukiimalsha chama katika uchaguzi ujao (2020)
Ambapo Zitto amejipanga - MAALIM SEIF atagombea urais Zanzibar Chama kitatumia raslimali nyingi katika kampeni ya Zanzibar kuliko bara. na Mungu akisaidia chama kitapata Wabunge kadhaa na MAALIM atapata kura nyingi kitendo ambacho kitaifanya ACT kuwa si tu kuwa chama maarufu cha Upinzani Zanzibar lakini pia chenye nguvu kuliko CHADEMA na CUF.
Ikitokea ACT imeshindwa uchaguzi Zanzibar (2020) ACT imejipanga kukataa matokeo ya uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kusisitiza kua TUME YA UCHAGUZI sio huru na MAARIM ameshinda Uchaguzi huo.
Hapa Zitto na Seif wataanza kutafuta support kutoka ndani na nje ya Tanzania.
lengo kubwa likiwa ni
(a) kushinikiza uchaguzi urudiwe Zanzibar(wakiomba usimamizi huru)
(b) itengenezwe serikali mseto.
Ikitokea hayo mawili yameshindikana zitto anaweza anza siasa za USAWA za Zanzibar kujitenga na Tanzania bara akitumia dini kama mwamvuli.(hili sio lazima litokee lakin ipo kichwa kwakwe)
NB: Haya ni maoni na utabiri wangu juu ya Mh Zitto Zuberi Kabwe na siasa za mwaka 2020.
NEXT time nitaandija juu ya CHADEMA na anguko la kisiasa mwaka 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka (2020)
(1) MPANGO WA ZITTO(ACT) TANZANIA BARA (2020)
ZITTO ZUBERI Kabwe anatambua kutaka kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania ni vita dhidi ya CHADEMA na ambayo sio rahisi badala yake amechagua kutumia njia ya mzunguko kwa kuanza na siasa za Zanzibar ili achukue nafasi ya CUF huko na baadae ndio atarudisha mashambulizi Tanzania bara
ACT haina mpango wa kusimkia mgombea wa urais Tanzania bara.
Katika uchaguzi (2020) tofauti na ilivyokuwa 2015 ZITTO Kabwe yuko tayari kujiunga na UKAWA kwa 100% na hata kupoteza majimbo yote bara (aweza bakiwa na moja) ila tu aruhusiwe kusimika wagombea wa urais na Ubunge Zanzibar.
Hivyo Zanzibar mchuano utakuwa kugawana majimbo kati ya CUF na ACT wote wakisimamisha wagombea dhidi ya CCM
(2) ACT ZANZIBAR(2020)
Mpango wa sasa wa Ziitto Kabwe ni kujiimarisha kisiasa ZANZIBAR..ndio maana amepanga safu yake ya mashambulizi kwa style ya kidini katika ngazi zote za juu za uongozi kuanzia Mwenyekiti mpaka washauri wa chama.
Unaweza kuona hapa-:
Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana! - JamiiForums
Zitto anajua fika asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na anatambua nguvu ya MAALIM SEIF katika siasa za Zanzibar hivyo atamtumia kukiimalsha chama katika uchaguzi ujao (2020)
Ambapo Zitto amejipanga - MAALIM SEIF atagombea urais Zanzibar Chama kitatumia raslimali nyingi katika kampeni ya Zanzibar kuliko bara. na Mungu akisaidia chama kitapata Wabunge kadhaa na MAALIM atapata kura nyingi kitendo ambacho kitaifanya ACT kuwa si tu kuwa chama maarufu cha Upinzani Zanzibar lakini pia chenye nguvu kuliko CHADEMA na CUF.
Ikitokea ACT imeshindwa uchaguzi Zanzibar (2020) ACT imejipanga kukataa matokeo ya uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kusisitiza kua TUME YA UCHAGUZI sio huru na MAARIM ameshinda Uchaguzi huo.
Hapa Zitto na Seif wataanza kutafuta support kutoka ndani na nje ya Tanzania.
lengo kubwa likiwa ni
(a) kushinikiza uchaguzi urudiwe Zanzibar(wakiomba usimamizi huru)
(b) itengenezwe serikali mseto.
Ikitokea hayo mawili yameshindikana zitto anaweza anza siasa za USAWA za Zanzibar kujitenga na Tanzania bara akitumia dini kama mwamvuli.(hili sio lazima litokee lakin ipo kichwa kwakwe)
NB: Haya ni maoni na utabiri wangu juu ya Mh Zitto Zuberi Kabwe na siasa za mwaka 2020.
NEXT time nitaandija juu ya CHADEMA na anguko la kisiasa mwaka 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app