Uchaguzi 2020 Mbinu za Zitto Kabwe na siasa za Urais (2020)

Uchaguzi 2020 Mbinu za Zitto Kabwe na siasa za Urais (2020)

Joined
Feb 26, 2012
Posts
58
Reaction score
62
ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji.

Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka (2020)

(1) MPANGO WA ZITTO(ACT) TANZANIA BARA (2020)

ZITTO ZUBERI Kabwe anatambua kutaka kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania ni vita dhidi ya CHADEMA na ambayo sio rahisi badala yake amechagua kutumia njia ya mzunguko kwa kuanza na siasa za Zanzibar ili achukue nafasi ya CUF huko na baadae ndio atarudisha mashambulizi Tanzania bara

ACT haina mpango wa kusimkia mgombea wa urais Tanzania bara.

Katika uchaguzi (2020) tofauti na ilivyokuwa 2015 ZITTO Kabwe yuko tayari kujiunga na UKAWA kwa 100% na hata kupoteza majimbo yote bara (aweza bakiwa na moja) ila tu aruhusiwe kusimika wagombea wa urais na Ubunge Zanzibar.

Hivyo Zanzibar mchuano utakuwa kugawana majimbo kati ya CUF na ACT wote wakisimamisha wagombea dhidi ya CCM

(2) ACT ZANZIBAR(2020)

Mpango wa sasa wa Ziitto Kabwe ni kujiimarisha kisiasa ZANZIBAR..ndio maana amepanga safu yake ya mashambulizi kwa style ya kidini katika ngazi zote za juu za uongozi kuanzia Mwenyekiti mpaka washauri wa chama.

Unaweza kuona hapa-:
Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana! - JamiiForums

Zitto anajua fika asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na anatambua nguvu ya MAALIM SEIF katika siasa za Zanzibar hivyo atamtumia kukiimalsha chama katika uchaguzi ujao (2020)

Ambapo Zitto amejipanga - MAALIM SEIF atagombea urais Zanzibar Chama kitatumia raslimali nyingi katika kampeni ya Zanzibar kuliko bara. na Mungu akisaidia chama kitapata Wabunge kadhaa na MAALIM atapata kura nyingi kitendo ambacho kitaifanya ACT kuwa si tu kuwa chama maarufu cha Upinzani Zanzibar lakini pia chenye nguvu kuliko CHADEMA na CUF.

Ikitokea ACT imeshindwa uchaguzi Zanzibar (2020) ACT imejipanga kukataa matokeo ya uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kusisitiza kua TUME YA UCHAGUZI sio huru na MAARIM ameshinda Uchaguzi huo.

Hapa Zitto na Seif wataanza kutafuta support kutoka ndani na nje ya Tanzania.
lengo kubwa likiwa ni
(a) kushinikiza uchaguzi urudiwe Zanzibar(wakiomba usimamizi huru)
(b) itengenezwe serikali mseto.

Ikitokea hayo mawili yameshindikana zitto anaweza anza siasa za USAWA za Zanzibar kujitenga na Tanzania bara akitumia dini kama mwamvuli.(hili sio lazima litokee lakin ipo kichwa kwakwe)

NB: Haya ni maoni na utabiri wangu juu ya Mh Zitto Zuberi Kabwe na siasa za mwaka 2020.

NEXT time nitaandija juu ya CHADEMA na anguko la kisiasa mwaka 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wa kusimkia mgombea wa urais Tanzania bara.
Katika uchaguzi (2020) tofauti na ilivyokuwa 2015 ZITTO kabwe yuko tayari kujiunga na UKAWA kwa 100% na hata kupoteza majimbo yote bara(aweza bakiwa na moja) ila tu aruhusiwe kusimika wagombea wa urais na Ubunge Zanzibar.
Kwani mpaka sasa ana majimbo mangapi bara?
 
Kwa tunaojua siasa za Maalimu, Zitto Kabwe ni muda utaamua lakini tayari anapoteza nguvu kwa chama alichokianzisha. Nguvu za kusimika chama Zanzibar si zake ni za Maalim na genge lake na wakifanikiwa Zitto ataisoma namba sababu hatakua na nguvu kwa mipango na maamuzi kwa himaya ACT Zanzibar ukizingatia kwa mikakati yao ndio watakuwa na nguvu kifedha kuliko ACT bara.
 
Siku ya pili unapotabiri fanya research kwanza ya unachokitabiri. Unatabirije ACT wakishindwa wataenda nje kuomba ili kushinikiza serikali ya mseto wakati katiba ya Zanzibar imesema wazi serikali ni hi ya Umoja wa kitaifa. Itaundwa na vyama vyote vitakavyopata 10% ya kura. Na kuhusu CUF na ACT wagawane majimbo kusimamisha wagombea Zanzibar hilo halitokuja kutokea. ACT watasimamisha majimbo yote na Kuhusu CUF cjui ila hata wakifanya hivyo hawataambulia kitu abadan.
 
ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji.

Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka (2020)

(1) MPANGO WA ZITTO(ACT) TANZANIA BARA (2020)

ZITTO ZUBERI Kabwe anatambua kutaka kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania ni vita dhidi ya CHADEMA na ambayo sio rahisi badala yake amechagua kutumia njia ya mzunguko kwa kuanza na siasa za Zanzibar ili achukue nafasi ya CUF huko na baadae ndio atarudisha mashambulizi Tanzania bara

ACT haina mpango wa kusimkia mgombea wa urais Tanzania bara.

Katika uchaguzi (2020) tofauti na ilivyokuwa 2015 ZITTO Kabwe yuko tayari kujiunga na UKAWA kwa 100% na hata kupoteza majimbo yote bara (aweza bakiwa na moja) ila tu aruhusiwe kusimika wagombea wa urais na Ubunge Zanzibar.

Hivyo Zanzibar mchuano utakuwa kugawana majimbo kati ya CUF na ACT wote wakisimamisha wagombea dhidi ya CCM

(2) ACT ZANZIBAR(2020)

Mpango wa sasa wa Ziitto Kabwe ni kujiimarisha kisiasa ZANZIBAR..ndio maana amepanga safu yake ya mashambulizi kwa style ya kidini katika ngazi zote za juu za uongozi kuanzia Mwenyekiti mpaka washauri wa chama.

Unaweza kuona hapa-:
Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana! - JamiiForums

Zitto anajua fika asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na anatambua nguvu ya MAALIM SEIF katika siasa za Zanzibar hivyo atamtumia kukiimalsha chama katika uchaguzi ujao (2020)

Ambapo Zitto amejipanga - MAALIM SEIF atagombea urais Zanzibar Chama kitatumia raslimali nyingi katika kampeni ya Zanzibar kuliko bara. na Mungu akisaidia chama kitapata Wabunge kadhaa na MAALIM atapata kura nyingi kitendo ambacho kitaifanya ACT kuwa si tu kuwa chama maarufu cha Upinzani Zanzibar lakini pia chenye nguvu kuliko CHADEMA na CUF.

Ikitokea ACT imeshindwa uchaguzi Zanzibar (2020) ACT imejipanga kukataa matokeo ya uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kusisitiza kua TUME YA UCHAGUZI sio huru na MAARIM ameshinda Uchaguzi huo.

Hapa Zitto na Seif wataanza kutafuta support kutoka ndani na nje ya Tanzania.
lengo kubwa likiwa ni
(a) kushinikiza uchaguzi urudiwe Zanzibar(wakiomba usimamizi huru)
(b) itengenezwe serikali mseto.

Ikitokea hayo mawili yameshindikana zitto anaweza anza siasa za USAWA za Zanzibar kujitenga na Tanzania bara akitumia dini kama mwamvuli.(hili sio lazima litokee lakin ipo kichwa kwakwe)

NB: Haya ni maoni na utabiri wangu juu ya Mh Zitto Zuberi Kabwe na siasa za mwaka 2020.

NEXT time nitaandija juu ya CHADEMA na anguko la kisiasa mwaka 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtizamo wako hauna macho hasa katika nukta yako ya pili fanyia kazi hilo katika vyama vyote vya siasa pamoja Serikali iliyopo madarakani kisha uje na hoja mbadala...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji.

Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka (2020)

(1) MPANGO WA ZITTO(ACT) TANZANIA BARA (2020)

ZITTO ZUBERI Kabwe anatambua kutaka kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania ni vita dhidi ya CHADEMA na ambayo sio rahisi badala yake amechagua kutumia njia ya mzunguko kwa kuanza na siasa za Zanzibar ili achukue nafasi ya CUF huko na baadae ndio atarudisha mashambulizi Tanzania bara

ACT haina mpango wa kusimkia mgombea wa urais Tanzania bara.

Katika uchaguzi (2020) tofauti na ilivyokuwa 2015 ZITTO Kabwe yuko tayari kujiunga na UKAWA kwa 100% na hata kupoteza majimbo yote bara (aweza bakiwa na moja) ila tu aruhusiwe kusimika wagombea wa urais na Ubunge Zanzibar.

Hivyo Zanzibar mchuano utakuwa kugawana majimbo kati ya CUF na ACT wote wakisimamisha wagombea dhidi ya CCM

(2) ACT ZANZIBAR(2020)

Mpango wa sasa wa Ziitto Kabwe ni kujiimarisha kisiasa ZANZIBAR..ndio maana amepanga safu yake ya mashambulizi kwa style ya kidini katika ngazi zote za juu za uongozi kuanzia Mwenyekiti mpaka washauri wa chama.

Unaweza kuona hapa-:
Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana! - JamiiForums

Zitto anajua fika asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na anatambua nguvu ya MAALIM SEIF katika siasa za Zanzibar hivyo atamtumia kukiimalsha chama katika uchaguzi ujao (2020)

Ambapo Zitto amejipanga - MAALIM SEIF atagombea urais Zanzibar Chama kitatumia raslimali nyingi katika kampeni ya Zanzibar kuliko bara. na Mungu akisaidia chama kitapata Wabunge kadhaa na MAALIM atapata kura nyingi kitendo ambacho kitaifanya ACT kuwa si tu kuwa chama maarufu cha Upinzani Zanzibar lakini pia chenye nguvu kuliko CHADEMA na CUF.

Ikitokea ACT imeshindwa uchaguzi Zanzibar (2020) ACT imejipanga kukataa matokeo ya uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kusisitiza kua TUME YA UCHAGUZI sio huru na MAARIM ameshinda Uchaguzi huo.

Hapa Zitto na Seif wataanza kutafuta support kutoka ndani na nje ya Tanzania.
lengo kubwa likiwa ni
(a) kushinikiza uchaguzi urudiwe Zanzibar(wakiomba usimamizi huru)
(b) itengenezwe serikali mseto.

Ikitokea hayo mawili yameshindikana zitto anaweza anza siasa za USAWA za Zanzibar kujitenga na Tanzania bara akitumia dini kama mwamvuli.(hili sio lazima litokee lakin ipo kichwa kwakwe)

NB: Haya ni maoni na utabiri wangu juu ya Mh Zitto Zuberi Kabwe na siasa za mwaka 2020.

NEXT time nitaandija juu ya CHADEMA na anguko la kisiasa mwaka 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe usiokuwa Muislamu uligombania nafasi gani ukakataliwa? Au ndio fitna tu
 
Hapa Zitto na Seif wataanza kutafuta support kutoka ndani na nje ya Tanzania.
lengo kubwa likiwa ni itengenezwe serikali mseto.

zitto anaanza siasa za Zanzibar kujitenga na Tanzania bara akitumia dini kama mwamvuli.

NB: Haya ni maoni na utabiri wangu juu ya Mh Zitto Zuberi Kabwe na siasa za mwaka 2020.
Duh...!. Kumbe Zitto na Seif wataanza kutafuta support ya ndani na nje ili kupata serikali ya mseto Zanzibar, ikishindikana then anavunja muungano!.

Naheshimu mawazo yako ila kiukweli Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania
P
 
CCM mbona wanamwamini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabwe amekuwa gumzo la mjini. Acha tu si CCM tu hata Wananchi, wabunge (wa vyama vyote- ccm, chadema, CUF, na vinginevyo), Mawaziri, vyombo vya dola na Marais wastaafu.

Mbaya zaidi, Kabwe anaaminiwa na mataifa ya nje pamoja na mashirika makubwa ya kimataifa kama IMF, benki ya dunia. SADC nk.

Hivyo ndivyo ilivyo upende usipende. Kila wakati una watu Wake, huu ni wakati wa KABWE ZITTO!
 
Kabwe amekuwa gumzo la mjini. Acha tu si CCM tu hata Wananchi, wabunge (wa vyama vyote- ccm, chadema, CUF, na vinginevyo), Mawaziri, vyombo vya dola na Marais wastaafu.

Mbaya zaidi, Kabwe anaaminiwa na mataifa ya nje pamoja na mashirika makubwa ya kimataifa kama IMF, benki ya dunia. SADC nk.

Hivyo ndivyo ilivyo upende usipende. Kila wakati una watu Wake, huu ni wakati wa KABWE ZITTO!
Mbona mkopo umeshaidhinishwa na hao aliowafungia safari kwenda kuwaaminisha kwamba fedha hizi zitatumika kwa shughuli za uchaguzi hasa kuibeba CCM ili irejee madarakani kwenye uchaguzi wa tweni tweni kamarade?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto Kabwe pekeake jimbo la kikoma mjini(2015)
(Anaweza bakiza hili na asisimike wagombea wengine bara)

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona una matamanio ya cdm kufa kama Magufuli na wanaccm wote. Ni bahati mbaya cdm ina wapenzi na wanachama wanaojitambua hivyo kuiua si rahisi. Ccm ya sasa ni chama outdated ambacho kinatumia nguvu ya dola kuendelea kubaki madarakani. Ukitaka kujua cdm imeshajijenga mioyoni mwa watu na haiwezi kufa tena, subiri huu ugonjwa wa Corona upite, kisha cdm wadai tume huru ya uchaguzi ndio utaujua cdm ni nini. Nakuhakikishia uchaguzi wa 2020 iwapo hakutakuwa na tume huru ya uchaguzi, utakwenda kugeuka kituko cha karne, na ccm itakaa madarakani bila ridhaa ya umma. Serikali hiyo itapata mbinyo toka ndani ya nchi na nje ya nchi. Nini kitatokea ni muda tu ndio utaamua.
 
Mkuu hauko mbali na Ukweli, the guy ni fundi wa kutengeneza maovu, na kuna platform kaihodhi mno, ukitoa maoni hasi juu yake wanafuta. Angalia kesi yake pale kisutu, wamiliki wa hiyo platform walikuwa nae kumsindikiza. Nani anajua kuhusiana na usalama wa ID zetu.
 
Back
Top Bottom