Mbinu zinahitajka Shetty ameharibu

Mbinu zinahitajka Shetty ameharibu

Joined
Oct 4, 2022
Posts
90
Reaction score
82
Nawasalimia wanaizengo..

Nina mwanamke mjanja mjanja Sana tuko ofisi moja, tume date na nime kula mara mbili tatu. Namsoma bado.

Huyu mwanamama is extra genius, naona na IQ yake kunizidi kabisa. Kikubwa ni ile mwanaume siku zote anabaki kuwa stronger, easy, Smart ila sasa naona jazba zinanipanda. Naweza kuharibu. Nataka amani itawale zaidi.

Naomba ushauri maana naona tutahairbiana mambo mengi
 
Nawasalimia wanaizengo..

Nina mwanamke(office mate)mjanja mjanja Sana tuko ofisi Moja, tume date na nime kula mara mbili tatu. Namsoma bado.

Huyu mwanamama is extra genius naona na iq zake kunizidi kabisa. Kikubwa ni ile mwanaume siku zote anabaki kuwa stronger, easy, Smart....ila sasa naona jazba zinanipanda. Naweza kuharibu. Nataka amani itawale zaidi.

Naomba ushauri maana naona tutahairbiana mambo mengi
Yani complain yako ni nn haswa mkuu ... Shetty baby 😂😂
 
"A man is always better than women, no matter what.... "
Shikilia hapo

Halafu, kwanini usieleze directly ukaeleweka ili uweze kusaidiwa?
 
"A man is always better than women, no matter what.... "
Shikilia hapo

Halafu, kwanini usieleze directly ukaeleweka ili uweze kusaidiwa?
Eeeh naona Satan anampa ushauri Shetani,tusubiri tsunami tu hapo
 
Back
Top Bottom