SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
Ujue baadhi ya matajiri waliofanikiwa kutoka kimaisha ni wajanja sana Wanaficha FORMULAR walizotumia ilikufanikiwa .
Kuna wengine ukiwauliza ulitokaje kimaisha wanasema FANYA KAZI KWA BIDII lakini wapo watu wanaojituma kuchapa kazi kwa bidii lakini hawajafanikiwa .Wengine wanasema jipange usikate tamaa utafanikiwa tu ,mara kazana kusoma ,mara nenda kwa mganga fulani lakini wengi wanafanya hayo lakini bado hawajafanikiwa maisha bado magumu tu.
Huwa najiuliza hawa matajiri wenye hela na malinyingi sana ambao kipindi cha nyuma walikuwa na maisha magumu au ya kawaida walifanya nini cha ziada .Maana kwa kweli hata mimi napenda mbeleni nitoke kimaisha lakini nafikiria na kupanga mipango na huwa na rekodi mipango katika maandishi na kuisoma lakini bado maisha ya kawaida .
Nyie mliofanikiwa mlifanya kipi cha ziada tupeane mbinu basi maana na mimi na penda kipindi cha mbeleni nitoke kimaisha .Mlitumia NJIA NA MBINU GANI ZA ZIADA.
Kuna wengine ukiwauliza ulitokaje kimaisha wanasema FANYA KAZI KWA BIDII lakini wapo watu wanaojituma kuchapa kazi kwa bidii lakini hawajafanikiwa .Wengine wanasema jipange usikate tamaa utafanikiwa tu ,mara kazana kusoma ,mara nenda kwa mganga fulani lakini wengi wanafanya hayo lakini bado hawajafanikiwa maisha bado magumu tu.
Huwa najiuliza hawa matajiri wenye hela na malinyingi sana ambao kipindi cha nyuma walikuwa na maisha magumu au ya kawaida walifanya nini cha ziada .Maana kwa kweli hata mimi napenda mbeleni nitoke kimaisha lakini nafikiria na kupanga mipango na huwa na rekodi mipango katika maandishi na kuisoma lakini bado maisha ya kawaida .
Nyie mliofanikiwa mlifanya kipi cha ziada tupeane mbinu basi maana na mimi na penda kipindi cha mbeleni nitoke kimaisha .Mlitumia NJIA NA MBINU GANI ZA ZIADA.