eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
hii ilitakiwa ishushwe toka juz, ila you tube kuna mchezo mchafuIkiwa ni siku mbili tu toka mwanamuziki Aly kiba atoe ngoma ya Mbio, ngoma hiyo kwa Mara ya kwanza imeshika namba 1 on trendingView attachment 1083288
Siku 2 bado ajafika milioni !! Mpuuzi huyuIkiwa ni siku mbili tu toka mwanamuziki Aly kiba atoe ngoma ya Mbio, ngoma hiyo kwa Mara ya kwanza imeshika namba 1 on trendingView attachment 1083288
Wewe utakuwa shabiki wa Yanga, kulia lia tu kama kocha wako Zaherahii ilitakiwa ishushwe toka juz, ila you tube kuna mchezo mchafu
wacha wee!!!Wewe utakuwa shabiki wa Yanga, kulia lia tu kama kocha wako Zahera
Ina siku ya saba sasa ni halali kusoma milioni 3Mwenzake inasoma M3.kama inashuka na ishuke tu kashamaliza kazi yake
Ingeshafika sema kuna michezo michafu huko you tubeSiku 2 bado ajafika milioni !! Mpuuzi huyu
dushe bila shaka.wacha wee!!!
Zahera analilia nn
Mchezo gan? Alikiba ana mashabiki sehem nyingine tofaut na Tz na kenya?Ingeshafika sema kuna michezo michafu huko you tube
Zote wala sio nyimbo bora waiIkiwa ni siku mbili tu toka mwanamuziki Aly kiba atoe ngoma ya Mbio, ngoma hiyo kwa Mara ya kwanza imeshika namba 1 on trendingView attachment 1083288
Ina siku ya saba sasa ni halali kusoma milioni 3
Kama ni mgeni na you tube huwezi kuelewaMchezo gan? Alikiba ana mashabiki sehem nyingine tofaut na Tz na kenya?
We jamaa nimeshakugutukia sio Great thinker, hivi kweli kwa akili zako unaweza cheza na viewers wa account nyingine YouTube unadhani ni Facebook?? Kuwa mjanja basi hata kidogoIngeshafika sema kuna michezo michafu huko you tube
Kama ni mgeni wa you tube hutanielewaWe jamaa nimeshakugutukia sio Great thinker, hivi kweli kwa akili zako unaweza cheza na viewers wa account nyingine YouTube unadhani ni Facebook?? Kuwa mjanja basi hata kidogo
Kijana umepotea sanaIkiwa ni siku mbili tu toka mwanamuziki Aly kiba atoe ngoma ya Mbio, ngoma hiyo kwa Mara ya kwanza imeshika namba 1 on trendingView attachment 1083288