Mbio za 29 za mwenge wa Uhuru kumaliza siku 150 na wilaya 150 kesho Wilayani Chato | Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mgeni rasmi

Karibu sana Chato utupe mko mpya mama,
Tumefurahi sana
 
Safi Sana Crde,

Karibu Chato sana mama Samia,

Hongera sana Mama Jenista na team yako
 
Mungu wrehemu mahayati wetu
 
Mimi namuenzi mzee wa Uwazi na Ukweli Benjamin Mkapa,
😍😍😍
Kazini kwangu mimi ni mkuu wa idara napenda sana mfanyakazi muwazi na mkweli,

Tukijenga Seikali ya uwazi tutapunguza rushwa kwa kiwango kikubwa sana
😍😍😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…