Mbio za baiskeli, Tanzania ingevuna medali nyingi sana kama serikali ingekuwa hai katika mchezo huu

Mbio za baiskeli, Tanzania ingevuna medali nyingi sana kama serikali ingekuwa hai katika mchezo huu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nimefuatilia mbio za baiskeli katika mashindano ya Olimpinki yanayoendelea Ufaransa, nikagundua kuwa Watanzania wezetu wangeshiriki mchezo huu wote wangerudi na medali.

Mfano ndugu zetu Wasukuma,kwa baiskeli wanakimbiza baiskeli hata huko Paris sijaona.

Chama cha Baiskeli Tanzania mko wapi ? Kwanini hampeleki washiriki? Nendeni Shinyanga, Mwanza, Geita na Simiyu huko mtapata waendesha baiskeli wazuri. Achanaeni na wala chipsi wa mijini hawa.
Soma pia: Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris


Screenshot_20240803-155601.png
 
Nimefuatilia mbio za baiskeli katika mashindano ya Olimpinki yanayoendelea Ufaransa, nikagundua kuwa Watanzania wezetu wangeshiriki mchezo huu wote wangerudi na medali.

Mfano ndugu zetu Wasukuma,kwa baiskeli wanakimbiza baiskeli hata huko Paris sijaona.

Chama cha Baiskeli Tanzania mko wapi ? Kwanini hampeleki washiriki? Nendeni Shinyanga, Mwanza, Geita na Simiyu huko mtapata waendesha baiskeli wazuri. Achanaeni na wala chipsi wa mijini hawa.
Soma pia: Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris


View attachment 3060573
nimeshuhudia mashindano ya baiskeli Shinyanga kule Ibadakuli na ndani ya uwanja wa CCM Kambarage mzunguko 24 lakini speed ni ileile huku wakiwa na baiskeli manual sana.
Leo nimeangalia mashindano ya baiskeli ya Olimpic nikaona yule mrwanda anaaribikiwa na baiskeli yake.
Hivi wale vijana wa pale Shinyanga kwanini serikali haifanyi jitihada ya kuimarisha mchezo huu?
Nimemwona dada yetu Lattif akitumia sekunde 28.42 kwenye swimming ya mita 50.
 
Mnadharau michezo , olympics kuna michezo mingi sana naona watoto wa kitanzania wanacheza ila hawana matunzo ya kufika mbali kama kuendesha baiskeli, kuruka sarakasi , kuogelea , hata kulenga
 
Wasukuma na wapogoro wangeshinda
* Bila maandalizi ya kweli, watoa aibu balaa.
Hiyo nadharia ndiyo inatumiwa kiboya kwa kumpeleka Wairak, Wamasai wakidhani watatoboa kwenye riadha
* Kuna mzungu mmoja aliwahi kushiriki madhindano ya baiskeli huko usukumani; alianza kwa hizi baiskeli za mizigo - Phoenix n.k, wasukuma wanamkimbiza wakaaona watashinda; akaweka baiskeli ya mizigo ( ya Kisukuma kando); akachukua chuma chake cha safari, wasukuma walidhani baiskeli imegeuka kuwa ndege.
Na hiyo ilikuwa huko Geita, je akiwa Paris?
 
N
* Bila maandalizi ya kweli, watoa aibu balaa.
Hiyo nadharia ndiyo inatumiwa kiboya kwa kumpeleka Wairak, Wamasai wakidhani watatoboa kwenye riadha
* Kuna mzungu mmoja aliwahi kushiriki madhindano ya baiskeli huko usukumani; alianza kwa hizi baiskeli za mizigo - Phoenix n.k, wasukuma wanamkimbiza wakaaona watashinda; akaweka baiskeli ya mizigo ( ya Kisukuma kando); akachukua chuma chake cha safari, wasukuma walidhani baiskeli imegeuka kuwa ndege.
Na hiyo ilikuwa huko Geita, je akiwa Paris?
Mmh! Kuna dhana potofu kuwa wasukuma hawawezi mpira, wanaweza kuendesha baiskeli, wairaq wanaweza riadha, wazaramo wanaweza kusutana, n.k
 
nimeshuhudia mashindano ya baiskeli Shinyanga kule Ibadakuli na ndani ya uwanja wa CCM Kambarage mzunguko 24 lakini speed ni ileile huku wakiwa na baiskeli manual sana.
Leo nimeangalia mashindano ya baiskeli ya Olimpic nikaona yule mrwanda anaaribikiwa na baiskeli yake.
Hivi wale vijana wa pale Shinyanga kwanini serikali haifanyi jitihada ya kuimarisha mchezo huu?
Nimemwona dada yetu Lattif akitumia sekunde 28.42 kwenye swimming ya mita 50.
Wewe jamaa kule shinyanga wanawake wanaendesha baiskel uku kichwan wana ndoo ya maji. Ukweli wangepelekwa wale tena barabara zenyewe nzuri hv mbona wangebeba dhahabu zote.
 
Nimefuatilia mbio za baiskeli katika mashindano ya Olimpinki yanayoendelea Ufaransa, nikagundua kuwa Watanzania wezetu wangeshiriki mchezo huu wote wangerudi na medali.

Mfano ndugu zetu Wasukuma,kwa baiskeli wanakimbiza baiskeli hata huko Paris sijaona.

Chama cha Baiskeli Tanzania mko wapi ? Kwanini hampeleki washiriki? Nendeni Shinyanga, Mwanza, Geita na Simiyu huko mtapata waendesha baiskeli wazuri. Achanaeni na wala chipsi wa mijini hawa.
Soma pia: Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris


View attachment 3060573
Serikali ipeleke washindi wa mashindano ya baiskeli wa humu nchini trials huko zinakofanyika,tusipopeleka trials hatuwezi kushiriki maana huku kwetu hakuna trials
 
Back
Top Bottom