MBIO ZA MWENGE KERO DAR

MBIO ZA MWENGE KERO DAR

Tanzania Nchi Yetu Sote

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
505
Reaction score
872
Maeneo yanayopitiwa na mbio za mwenge wananchi wanateseka bila sababu. Chukulia mfano leo mwenge ulikuwa unaenda kuzindua barabara iliyojengwa kiwango cha zege kuanzia eneo linaloitwa sauzi mpaka matosa kuelekea njiapanda ya goba. Cha kushangaza barabara ilifungwa tangu jana kuanzia msikiti mdogo bila sababu yoyote ya msingi. Leo asubuhi ikawa ni mateso matupu kwa abiria. Uzinduzi unafanyikia matosa lakini kuanzia msikiti mdogo mpaka njiapanda ya goba kumefungwa. Vijana wasiovaa sare wametundika pingu viunoni na kushika radio calls mikononi walikuwa wakiwaonesha cha mtemakuni bodaboda waliokatiza.

Mwenge usigeuke kero kwa kuchelewesha watu kujitafutia riziki zao.
 
Maeneo yanayopitiwa na mbio za mwenge wananchi wanateseka bila sababu. Chukulia mfano leo mwenge ulikuwa unaenda kuzindua barabara iliyojengwa kiwango cha zege kuanzia eneo linaloitwa sauzi mpaka matosa kuelekea njiapanda ya goba. Cha kushangaza barabara ilifungwa tangu jana kuanzia msikiti mdogo bila sababu yoyote ya msingi. Leo asubuhi ikawa ni mateso matupu kwa abiria. Uzinduzi unafanyikia matosa lakini kuanzia msikiti mdogo mpaka njiapanda ya goba kumefungwa. Vijana wasiovaa sare wametundika pingu viunoni na kushika radio calls mikononi walikuwa wakiwaonesha cha mtemakuni bodaboda waliokatiza.

Mwenge usigeuke kero kwa kuchelewesha watu kujitafutia riziki zao.
Mwenge usigeuke kero kwa kuchelewesha watu kujitafutia riziki zao.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maeneo yanayopitiwa na mbio za mwenge wananchi wanateseka bila sababu. Chukulia mfano leo mwenge ulikuwa unaenda kuzindua barabara iliyojengwa kiwango cha zege kuanzia eneo linaloitwa sauzi mpaka matosa kuelekea njiapanda ya goba. Cha kushangaza barabara ilifungwa tangu jana kuanzia msikiti mdogo bila sababu yoyote ya msingi. Leo asubuhi ikawa ni mateso matupu kwa abiria. Uzinduzi unafanyikia matosa lakini kuanzia msikiti mdogo mpaka njiapanda ya goba kumefungwa. Vijana wasiovaa sare wametundika pingu viunoni na kushika radio calls mikononi walikuwa wakiwaonesha cha mtemakuni bodaboda waliokatiza.

Mwenge usigeuke kero kwa kuchelewesha watu kujitafutia riziki zao.


Mwenge ni laana na ibada ya kishirikina.
 
Mwenge ni laana na ibada ya kishirikina.

Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom