Mbio za ubingwa Simba SC vs Yanga SC mechi zao za ugenini

Mbio za ubingwa Simba SC vs Yanga SC mechi zao za ugenini

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ligi kuu ya Tanganyika inazidi kushika kasi huku miamba wawili wakitunishiana misuli kunyakua ubingwa wa NBC premier league. Hizi hapa mechi ambazo watazicheza away.

Yanga vs 🦁
Namungo vs 🦁
JktTanzania vs 🦁
Kengold vs 🦁
Coast union vs 🦁

Mashujaa vs 🐸
Azam fc vs 🐸
Faunting gate vs 🐸
Tabora united vs 🐸
Pamba fc vs vs 🐸
 
Simba vs coastal union
Simba vs azam
Simba vs utopolo

Tukishinda hizi mechi tatu au mbili na drawa moja sisi ni MABINGWA KWA MSIMU HUU.

SIMBA BINGWA.
 
Simba wawe waangalifu sana kwani kuna suala la "goal difference" linaweza kujitokeza mwishoni mwa ligi kwani ligi ya mwaka huu ni moto weka mbali na watoto. Niwakumbushe tu viongozi na benchi la ufundi kuwa msimu wa 2016/2017 Simba na Yanga walikuwa na pointi 68 lakini Yanga akachukua ubingwa kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa kwani Yanga alikuwa na magoli 10 zaidi ya Simba..

Sasa ninaposema Simba wawe waangalifu sana ni kwa sababu Simba kuna muda wanakuwa wameizidi timu pinzani kwa kila kitu lakini wakishafunga magoli mawili/matatu basi mchezo unaishia hapo hakuna ladha tena ya kutizama mpira kwani wachezaji wanaridhika wanaanza kupigiana pasi fupi fupi badala ya kutafuta magoli zaidi. Mfano mzuri mechi ya jana na Prison kiukweli Simba walikuwa na uwezo wa kushinda hata goli 7 kama wangedhamiria. Lakini walipopata magoli matatu wachezaji na benchi la ufundi wakaridhika wakamuingiza Deborah ambaye muda wote alikuwa anapiga pasi za nyuma badala ya kwenda mbele ili timu ipate magoli zaidi.

Aliye karibu na Mo Dewji, viongozi wa Simba na hata benchi la ufundi awakumbushe hili mapema wawambie wachezaji wao wafunge magoli kadiri wawezavyo ili mwishoni mwa ligi wasije wakapata presha na kujutia. Wenzao Yanga hawarembi mtu akiingia kwenye mfumo anakula 5 au 6 kwani wanajua nini kilitokea msimu wa 2016/17. Ikiwezekana benchi la ufundi la Simba na wachezaji wote wa Simba wakiwa mapumzikoni kambini waonyeshwe msimamo wa ligi ulivyokuwa msimu 2016/17 labda akili zao zitawakaa sawa na labda wataacha mambo ya "show game" na kuanza sasa kutafuta mtaji wa magoli.


Ni mtizamo tu
 
Simba wawe waangalifu sana kwani kuna suala la "goal difference" linaweza kujitokeza mwishoni mwa ligi kwani ligi ya mwaka huu ni moto weka mbali na watoto. Niwakumbushe tu viongozi na benchi la ufundi kuwa msimu wa 2016/2017 Simba na Yanga walikuwa na pointi 68 lakini Yanga akachukua ubingwa kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa kwani Yanga alikuwa na magoli 10 zaidi ya Simba..

Sasa ninaposema Simba wawe waangalifu sana ni kwa sababu Simba kuna muda wanakuwa wameizidi timu pinzani kwa kila kitu lakini wakishafunga magoli mawili/matatu basi mchezo unaishia hapo hakuna ladha tena ya kutizama mpira kwani wachezaji wanaridhika wanaanza kupigiana pasi fupi fupi badala ya kutafuta magoli zaidi. Mfano mzuri mechi ya jana na Prison kiukweli Simba walikuwa na uwezo wa kushinda hata goli 7 kama wangedhamiria. Lakini walipopata magoli matatu wachezaji na benchi la ufundi wakaridhika wakamuingiza Deborah ambaye muda wote alikuwa anapiga pasi za nyuma badala ya kwenda mbele ili timu ipate magoli zaidi.

Aliye karibu na Mo Dewji, viongozi wa Simba na hata benchi la ufundi awakumbushe hili mapema wawambie wachezaji wao wafunge magoli kadiri wawezavyo ili mwishoni mwa ligi wasije wakapata presha na kujutia. Wenzao Yanga hawarembi mtu akiingia kwenye mfumo anakula 5 au 6 kwani wanajua nini kilitokea msimu wa 2016/17. Ikiwezekana benchi la ufundi la Simba na wachezaji wote wa Simba wakiwa mapumzikoni kambini waonyeshwe msimamo wa ligi ulivyokuwa msimu 2016/17 labda akili zao zitawakaa sawa na labda wataacha mambo ya "show game" na kuanza sasa kutafuta mtaji wa magoli.


Ni mtizamo tu
Usiwastue waache washangilie
 
Ligi kuu ya Tanganyika inazidi kushika kasi huku miamba wawili wakitunishiana misuli kunyakua ubingwa wa NBC premier league. Hizi hapa mechi ambazo watazicheza away.

Yanga vs 🦁
Namungo vs 🦁
JktTanzania vs 🦁
Kengold vs 🦁
Coast union vs 🦁

Mashujaa vs 🐸
Azam fc vs 🐸
Faunting gate vs 🐸
Tabora united vs 🐸
Pamba fc vs vs 🐸
Huo mpangilio ni kwa namna mechi zitakavyokuwa zinafuatana au ni randomly?
 
Usiwastue waache washangilie
Acha tu niwasanue ili wawe waangalifu yasije kuwatokea ya 2016/17. Msimu wa 2016/17 msimamo wa Simba na Yanga huu hapa chini nimeikopi mahali

S/NoTeamPldWDLGFGAGDPts
1Young Africans (C)3021545714+4368
2Simba3021545017+3368

Waione viongozI Simba na benchi la ufundi la Simba.
 
Acha tu niwasanue ili wawe waangalifu yasije kuwatokea ya 2016/17. Msimu wa 2016/17 msimamo wa Simba na Yanga huu hapa chini nimeikopi mahali

S/NoTeamPldWDLGFGAGDPts
1Young Africans (C)3021545714+4368
2Simba3021545017+3368

Waione viongozI Simba na benchi la ufundi la Simba.
Yanga atakuwa bingwa
We nisikilize Mimi
 
Back
Top Bottom