Mbio za ubingwa Simba SC vs Yanga SC mechi zao za ugenini

Mbio za ubingwa Simba SC vs Yanga SC mechi zao za ugenini

Yanga atakuwa bingwa
We nisikilize Mimi
Inawezekana au isiwezekane. Kwangu mimi nilikuwa tu nawatahadharisha Simba maana naona wanashangilia mimba badala ya kusubiri kwanza mtoto azaliwe. Pia hawajui maandalizi ya kumpata huyo mtoto ni pamoja na kuwa na mtaji wa magoli wao wanaendekeza "show game" kwenye mechi kama ya jana wakati Prison wameshalala kibla.
 
Simba wawe waangalifu sana kwani kuna suala la "goal difference" linaweza kujitokeza mwishoni mwa ligi kwani ligi ya mwaka huu ni moto weka mbali na watoto. Niwakumbushe tu viongozi na benchi la ufundi kuwa msimu wa 2016/2017 Simba na Yanga walikuwa na pointi 68 lakini Yanga akachukua ubingwa kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa kwani Yanga alikuwa na magoli 10 zaidi ya Simba..

Sasa ninaposema Simba wawe waangalifu sana ni kwa sababu Simba kuna muda wanakuwa wameizidi timu pinzani kwa kila kitu lakini wakishafunga magoli mawili/matatu basi mchezo unaishia hapo hakuna ladha tena ya kutizama mpira kwani wachezaji wanaridhika wanaanza kupigiana pasi fupi fupi badala ya kutafuta magoli zaidi. Mfano mzuri mechi ya jana na Prison kiukweli Simba walikuwa na uwezo wa kushinda hata goli 7 kama wangedhamiria. Lakini walipopata magoli matatu wachezaji na benchi la ufundi wakaridhika wakamuingiza Deborah ambaye muda wote alikuwa anapiga pasi za nyuma badala ya kwenda mbele ili timu ipate magoli zaidi.

Aliye karibu na Mo Dewji, viongozi wa Simba na hata benchi la ufundi awakumbushe hili mapema wawambie wachezaji wao wafunge magoli kadiri wawezavyo ili mwishoni mwa ligi wasije wakapata presha na kujutia. Wenzao Yanga hawarembi mtu akiingia kwenye mfumo anakula 5 au 6 kwani wanajua nini kilitokea msimu wa 2016/17. Ikiwezekana benchi la ufundi la Simba na wachezaji wote wa Simba wakiwa mapumzikoni kambini waonyeshwe msimamo wa ligi ulivyokuwa msimu 2016/17 labda akili zao zitawakaa sawa na labda wataacha mambo ya "show game" na kuanza sasa kutafuta mtaji wa magoli.


Ni mtizamo tu
Unadhani hatutaki kufunga magoli mengi? Uwezo baba.
"Bila Rose Mhando" wa refa kazi.
Penalti za ajabu
Magoli ya offside
Extra-extra times
Kuua move za opponents
Akiguswa mchezaji wetu foul, akiguswa mpinzani go on, go on
 
Simba wawe waangalifu sana kwani kuna suala la "goal difference" linaweza kujitokeza mwishoni mwa ligi kwani ligi ya mwaka huu ni moto weka mbali na watoto. Niwakumbushe tu viongozi na benchi la ufundi kuwa msimu wa 2016/2017 Simba na Yanga walikuwa na pointi 68 lakini Yanga akachukua ubingwa kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa kwani Yanga alikuwa na magoli 10 zaidi ya Simba..

Sasa ninaposema Simba wawe waangalifu sana ni kwa sababu Simba kuna muda wanakuwa wameizidi timu pinzani kwa kila kitu lakini wakishafunga magoli mawili/matatu basi mchezo unaishia hapo hakuna ladha tena ya kutizama mpira kwani wachezaji wanaridhika wanaanza kupigiana pasi fupi fupi badala ya kutafuta magoli zaidi. Mfano mzuri mechi ya jana na Prison kiukweli Simba walikuwa na uwezo wa kushinda hata goli 7 kama wangedhamiria. Lakini walipopata magoli matatu wachezaji na benchi la ufundi wakaridhika wakamuingiza Deborah ambaye muda wote alikuwa anapiga pasi za nyuma badala ya kwenda mbele ili timu ipate magoli zaidi.

Aliye karibu na Mo Dewji, viongozi wa Simba na hata benchi la ufundi awakumbushe hili mapema wawambie wachezaji wao wafunge magoli kadiri wawezavyo ili mwishoni mwa ligi wasije wakapata presha na kujutia. Wenzao Yanga hawarembi mtu akiingia kwenye mfumo anakula 5 au 6 kwani wanajua nini kilitokea msimu wa 2016/17. Ikiwezekana benchi la ufundi la Simba na wachezaji wote wa Simba wakiwa mapumzikoni kambini waonyeshwe msimamo wa ligi ulivyokuwa msimu 2016/17 labda akili zao zitawakaa sawa na labda wataacha mambo ya "show game" na kuanza sasa kutafuta mtaji wa magoli.


Ni mtizamo tu
Umeandika tahadhari muhimu sana
 
Coastal Union piga hawa mbwa bado wanapumua

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

💛💚💛💚💛💚
 
Ligi kuu ya Tanganyika inazidi kushika kasi huku miamba wawili wakitunishiana misuli kunyakua ubingwa wa NBC premier league. Hizi hapa mechi ambazo watazicheza away.

Yanga vs 🦁
Namungo vs 🦁
JktTanzania vs 🦁
Kengold vs 🦁
Coast union vs 🦁

Mashujaa vs 🐸
Azam fc vs 🐸
Faunting gate vs 🐸
Tabora united vs 🐸
Pamba fc vs vs 🐸
Simba jipangeni tu kwa msimu ujao. Mechi ya leo na Coastal siyo nyepesi kivile! Mechi na Yanga siyo nyepesi, mechi na Ken gold siyo nyepesi! Mechi na JKT siyo nyepesi!

Yaani kudondosha pointi hapa ni dakika 0 tu na hiki kikosi chenu kisichokuwa na mabadiliko kwa baadhi ya wachezaji.
 
Simba jipangeni tu kwa msimu ujao. Mechi ya leo na Coastal siyo nyepesi kivile! Mechi na Yanga siyo nyepesi, mechi na Ken gold siyo nyepesi! Mechi na JKT siyo nyepesi!

Yaani kudondosha pointi hapa ni dakika 0 tu na hiki kikosi chenu kisichokuwa na mabadiliko kwa baadhi ya wachezaji.
Vipi nyie kwa upande wenu kila mechi ni rahisi?
 
Back
Top Bottom