Mbio za ubingwa zinazidi kunoga

Mbio za ubingwa zinazidi kunoga

Mpira una mambo mengi,fikiria wachezaji muhimu wa timu wanapata majeraha ya mda mrefu lazima utapata matokeo hafifu ya timu.
hili linaweza kutokea kwa timu yoyote ile,na kuna mengineyo pia wanayoweza kubadili hali ya ushindani wa ligi.
Yanga kila namba inachezwa na wachezaji zaidi ya watatu wa kiwango cha kuchezea timu ya Taifa! Hivyo kuhusu suala la majeraha, hilo sahau.

Ubingwa mwaka huu unaenda Jangwani. Na kama huamini, basi muulize Moo au Wallace Karia! Watakupa majibu haya haya.
 
Yanga kila namba inachezwa na wachezaji zaidi ya watatu wa kiwango cha kuchezea timu ya Taifa! Hivyo kuhusu suala la majeraha, hilo sahau.

Ubingwa mwaka huu unaenda Jangwani. Na kama huamini, basi muulize Moo au Wallace Karia! Watakupa majibu haya haya.
sawa mwaka wenu huu ila mkiteleza mahala mmekwisha.mnyama hata waacha salama.
 
Kabla raundi hii ya kwanza haijaisha Yanga atadondosha point 2 ama tatu,asipodondosha kwa mtibwa lazima atadondosha kwa Mbeya City.
 
Lakini Simba anakuwa na mchezo mmoja mkononi. Kiporo cha Kagera sugar
Hivi ndugu yangu unawaamini TFF wanaweza kukupa zote au moja au hawakupi kabisa usiwaamini sana hesabu hiyo hiyo gap la points 10
 
Back
Top Bottom