Mbolea aina ya SUPERGRO

mputamaseko

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2013
Posts
1,401
Reaction score
949
Habari zenu wana JF napenda kupata maelezo kuhusu faida na hasara kwa mkulima ambae atatumia mbolea ya maji aina ya SuperGro shambani kwake. Nimejaribu kuomba details za hiyo mbolea kwa wauzaji wameishia kuniambia kuwa haipatikani kwenye maduka ya kawaida ya kilimo na mifugo,mtu akitaka lazima awaone mwenyewe tu sasa napata mashaka ya kwenda kuitumia kwenye projects zangu kutokana na kuwa na taarifa finyu juu ya mbolea hii.
 
Nakushauri hivi sasa mbolea zinasajiliwa na mbolea pekee nayo weza kukushauri ni ya easy grow ambayo ni ya chenga na unachanganya na maji ziko tofauti kuna ya kuanzia na yakukuzia na ya matunda tumia hiyo. Halafu unataka kuotesha nini?
 
Kweli Tujuze Mkuu Stemcell Nini Impact Ya Supergro Kwenye Nyanya?
siijui hiyo mbolea ila mbolea nyingi sana zinatengenezwa bila kiwango na kiwango wanachoandika siyo kweli au hakipo,mfano nilitumia mbolea moja ilikuwa imendikwa ina calcium nikatumia kwenye nyanya ili isiwe na bloosam end rot na nikakuta bado na pata tatizo, nikatumia ya osho easy grow ya calcium sijapata shida tena, kwa hiyo ni vizuri tutumie za kampuni ambazo zimethibitishwa ili kupata mavuno bora na wana aina tofauti kulingana na hatua ya mmea wako.
 
Hyo SuperGro ni mbolea ya gnld, mtafute huyo mtu lazima atakua na kitabu chenye details za hiyo product!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…