NAWAHUKURU POSITIVE TAKERS WOTE! Mbolea hii inafaida zifuatazo!
INAOKOA GHARAMA > Hili ni kutokana na ukweli kwamba hii mbolea inafanya kazi eneo kubwa kwa kiasi kidogo tu yaani lita 1 kwa eka 1. Ambapo LITA hiyo mimi nauza TZS 35000 TU!
INAFAIDA KWENYE ARDHI!
Ni kwamba katika hii mbolea ardhi kama inapitisha maji sana hii inauwezesha udongo kuongeza uwezo wa kutunza maji.
KWA MIMEA:- Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa huenda jua likawa ndo tatizo kubwa. Mbolea hii inauongezea mmea uwezo wa kujikinga na athari zitokanazo na mionzi ya jua.
INAFAIDA NYINGI HIZO NI BAADHI TU!