DOKEZO Mbolea za ruzuku hakuna kabisa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Sisi wakulima wa ukanda wa Pwani tunateseka sana na mbolea , hakuna mbolea yoyote ya Ruzuku kwa sasa ilipo kwa mawakala , toka mwezi wa 11 mwishoni, kila wakala anasema serikali haijalipa wasambazaji hivyo mawakala wakichukua mbolea na kuuza kwa ruzuku hawatalipwa .

Tunaomba Waziri wa Kilimo asema waziwazi nini kinaendelea kati yao na wasambazaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…