Mbona alibaba ndinga bei chee sana?

Mbona alibaba ndinga bei chee sana?

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Mbona ndinga bei poa sana? Au upigaji?
Screenshot_20230217-193542_Facebook.jpg
Screenshot_20230217-193605_Facebook.jpg
Screenshot_20230217-193750_Facebook.jpg
Screenshot_20230217-193805_Facebook.jpg
 
Boss kwa akili zako la harakaharaka LC200 upate kwa less than $3500.

Yaani hiyo hela haitoshi hata kununua cylinder block la engine ya hiyo gari. Achana na engine yenyewe.

Halafu biashara za alibaba haziendi kama hivyo unavyowaza wewe.

Alibaba mambo ya prices unachat na Seller, anacreate payment link ndio unafanya malipo.

Kuna vitu vingi ambavyo iliyoandikwa hapo ni tofauti.na.bei atakayokutajia seller baada ya kuwasiliana naye.
 
Kwan ni soko gani la nje ya nchi ambayo wanauza gari used garama??

Tatzo ni kodi kubwa za TRA baada ya gari kutua bongo!!
Unaweza ukanionesha soko lingine linalouza vitz new model kwa usd 400
Tatizo Kodi ya hapa bongo ndo mtiti.
Kwani kodi inabadilika kulingana na soko ulikoitoa bidhaa?
 
Boss kwa akili zako la harakaharaka LC200 upate kwa less than $3500.

Yaani hiyo hela haitoshi hata kununua cylinder block la engine ya hiyo gari. Achana na engine yenyewe.

Halafu biashara za alibaba haziendi kama hivyo unavyowaza wewe.

Alibaba mambo ya prices unachat na Seller, anacreate payment link ndio unafanya malipo.

Kuna vitu vingi ambavyo iliyoandikwa hapo ni tofauti.na.bei atakayokutajia seller baada ya kuwasiliana naye.
Ndo maana nikauliza baada ya kuona bei chee sana, sasa alibaba kwa nn hawapo proffesional waweke bei ambayo hawajawasiliana na mwenye bidhaa?
 
Boss kwa akili zako la harakaharaka LC200 upate kwa less than $3500.

Yaani hiyo hela haitoshi hata kununua cylinder block la engine ya hiyo gari. Achana na engine yenyewe.

Halafu biashara za alibaba haziendi kama hivyo unavyowaza wewe.

Alibaba mambo ya prices unachat na Seller, anacreate payment link ndio unafanya malipo.

Kuna vitu vingi ambavyo iliyoandikwa hapo ni tofauti.na.bei atakayokutajia seller baada ya kuwasiliana naye.
Kifupi ni kuwa alibaba kakukutanisha na buyer ila hizo bei ni clickbait tu.
 
Back
Top Bottom