Mbona Azam UTV hawaoneshi mpira leo?

Mshana na ww unatetea hili? Sawa kwanini wazifungie UBC na KBC ambazo nazo zinarusha huu mpira? inapofika tu muda match inaanza wanazizima
Hiyo ni kanuni ya CAF, kuwa television ya taifa itaonesha mashindano ila hawapaswi kuvusha hayo matangazo nje ya nchi.
 
Kinanda umiza kuna watu wabaya. Huogopi wakikuiba?? Maaana nyinyi kla siku mnatukataza tusiende
 
Jamaa wamekata matangazo ya soka kwani soka ni sherehe kumbukeni tumelipia hii huduma sio msaada au kama vipi kateni matangaza sio mtuletee mziki ya kihuni


Au mruhusu matangazo ya KBC na UBC tuomboleze wote huu ni kutukomoa na miziki

Utv hata kama hukulipia unaipata.
 
Hawa matako hakiyanani kifurushi chao hiki kikiisha nahamia dstv, kwanza hapa pamejaa udini tu,nisijekuwa na tabia za waarabu. Tamthilia zote wanaleta za Uturuki tu zenye kuchinjachinja na ukatili hadi watoto huwezi waruhusu waangalie,wasije kugeuka siku moja wakakuchinja wakifikiri kitu cha kawaida. Nimeamini kwanini waarabu huwa na ujasiri kuchinja hata ndugu zao!

Leo nusu fainali hawaonyeshi wakati msiba wao ulishaisha,sasa wana nini cha faida?
 
Kama siyo DSTV jua bado huna king'amuzi.

Mikoani kuna huduma za Cable TV
 
Kama siyo DSTV jua bado huna king'amuzi.

Mikoani kuna huduma za Cable TV
Ivi dstv kile kifurushi cha bomba cha @19,000 uwa kinakuwa na channel zinazoonyesha ligi kuu ya uingireza na uefa championi league??
 
Ivi dstv kile kifurushi cha bomba cha @19,000 uwa kinakuwa na channel zinazoonyesha ligi kuu ya uingireza na uefa championi league??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…