Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Hiyo ni kanuni ya CAF, kuwa television ya taifa itaonesha mashindano ila hawapaswi kuvusha hayo matangazo nje ya nchi.Mshana na ww unatetea hili? Sawa kwanini wazifungie UBC na KBC ambazo nazo zinarusha huu mpira? inapofika tu muda match inaanza wanazizima