First preliminary stage mechi mbiliMechi ngapi za CAF?
Kwahyo sisi tunaishia makundi?First preliminary stage mechi mbili
Second preliminary stage mechi mbili
Group stage mechi sita
Jumla ni mechi kumi kama timu itaishia hatua ya makundi pekee.
Una swali lingine?
Yaan hili swali natoka kuuliza mtu watupe ukweliMbona Baleke Hachezi wajameni. What is going on?
Soma comment kwanzia juu uelewe sio unakurupuka tu katikatiKwahyo sisi tunaishia makundi?
Wachambuzi wa mikindani 😀😀Baleke hakuwa na vibali ila vimeshapatikana kwa maelezo ya wachambuzi
Timu ingekua zinachezesha 12 players at once angekua anachezaMbona Baleke Hachezi wajameni. What is going on?