Mbona Chama yupo bench la Berkane Sasa hivi

Ndo Maana mnaitatwaga machoko Ivo Ivo ,una papara balaa ,Chama na Kisinda wanacheza no moja?

Yaan vijitu vya yanga vimejaa makamasi tu kichwan mwao
Sasa uchoko umetoka wapi? Utani hauna hasira wala matusi ,ukijiona una hasira acha kushabikia Simba na yanga
 
Wenye akili ni ile MISITU KIBAO inayoshindana na BENARD MORSON mmoja na WAMESHINDWA. Pumbaf
We kolo hapo ndio akili zako zilipoishia? Hebu jifunze kwanza kuandika kabla ya kuparamia wanaume humu jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…