Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Na kwako pia mama.Usiku mwema kipenzi.
Na kwako pia mama.
Mwambie sijaribiwi!!!!
Anajijaribu mwenyewe teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo Neybright atakupoteza,tangu lini mtu akatafutiwa kopo? Yeye mbona alijichagulia mwenyewe? Pambana na hali yako tu mwl.wangu kipenziHaya mwanafunzi wangu kipenzi Thad umeambiwa unitafutie kopo nianze kula bata hapa[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
Fanya haraka maana kesho ni shule ili ujiandae mapema
Data ninazo za kutosha kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lol! Sio kwa hiyo takwimu bila data!!
Akikushtua na mimi nishtue....ili tushtuane!Akikubali nishtue[emoji4] [emoji4]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe alikukataa? Jamani Ney kwanini lakini?Nilikuambia unikubalie ukakataa, bora Thad amekuja naweza kubahatisha[emoji85] [emoji85]
Andaa hela yako ya mazishi kabisa.Bro nashukuru saana. Kumbe bado urafiki upo! Nashukuru saana kwa kunisajest hapa....!
Ufanye hivi mara nyingi bro
[emoji15] [emoji15] [emoji15] shem vp shost bado kakununia nije?ngoja aje, haiwezekani ukamuacha hivihivi
Uliahamia kutoka wapi vile?Wengine sisi ni wahamiaji, kwa hiyo hatuwezi tukawa wa asili huku jijini
wewe mwanafunzi nimekuchoka, kila sehemu upo[emoji15]Uliahamia kutoka wapi vile?
Mwambie bana kwanini anikatae ivoo!! Hajui kama mimi ni mwalimu eehh[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe alikukataa? Jamani Ney kwanini lakini?
Nishakutega sasa nasubiri ujilete nijisevie kitoweoNawashauri mumtege kwa tundu bovu,maana ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Siwez kupambana mwenyewe lazima nipate team work ndio nipambane[emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo Neybright atakupoteza,tangu lini mtu akatafutiwa kopo? Yeye mbona alijichagulia mwenyewe? Pambana na hali yako tu mwl.wangu kipenzi
Zilete hapa kama sio uongo huo na uchocheziData ninazo za kutosha kabisa
Sikushtui maana utaniharibia mtegoAkikushtua na mimi nishtue....ili tushtuane!
Na mimi nimekuchoka, ndio maana nimekuhama! [emoji12] [emoji12]wewe mwanafunzi nimekuchoka, kila sehemu upo[emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuwa mwl.sio issue, issue ni je,ungeweza kumbebisha kama anavyobebishwa na Joseverest?Mwambie bana kwanini anikatae ivoo!! Hajui kama mimi ni mwalimu eehh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] endelea kusubiri mpaka 2025, tukianza awamu mpyaNishakutega sasa nasubiri ujilete nijisevie kitoweo