Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

MI WANGU NINAYE KWENYE UBAVU VYUMA VIMEKAZA NA SIE TUNAKAZANA
 
kweli mkuu hivi mimi nitaanza vipi kukupenda wakati hata sina uhakika kama huyo kwenye picha ni wewe???!!!
Ni kweli mkuu ila mi details zangu za kweli na hiyo picha ni mm mi msema kweli
 

Namshukuru Mungu yangu bado iko poa.
 
[emoji144] [emoji144] [emoji87] [emoji87] mazungumzo ya watu wawili tu..ila ni ya kishemejishemeji
Sawa Ila mioyo yenu ikidondokeana msisite kunipa taarifa maana nikigundua mwenyewe mmoja wenu atakuwa halali yangu [emoji41].
 
Sawa Ila mioyo yenu ikidondokeana msisite kunipa taarifa maana nikigundua mwenyewe mmoja wenu atakuwa halali yangu [emoji41].
Yamekuwa hayo tena? Baby huniamini[emoji15] [emoji15] [emoji32] [emoji32] [emoji46] [emoji46]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…