Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Kwani Yuesiei Bebi Boy yupo wapi skuizi....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Comrade....
Ubu ngoja niishie hapa kabla hawajaanza kuniponda mawe
Kwani ana life ban huyo? Ni ban ya kawaida tu
 
safari hii hautabaki salama ngoja tusubiri na kwa taarifa yako na kodi ya nyumba utalipa
 
safari hii hautabaki salama ngoja tusubiri na kwa taarifa yako na kodi ya nyumba utalipa
mie nazitanguliza hizo kodi bado sipokelewi.. acha wanaopokelewa wazilipe tu..
 
mie nazitanguliza hizo kodi bado sipokelewi.. acha wanaopokelewa wazilipe tu..
tehe..teh....teh.... ngoja waje pm wakutokee tabu hutarudusha feedback kwa mkwal utakaopewa
 
Minamuombea tu wamuachie ili arudi tu aiseeeee...... maana mbona watu tuna haribu sana humu hata kuliko yeye haki....
JF ukipigwa ban ukawaandikia pm ya kuomba msamaha na kukiri kosa wanakusamehe tu labda uwe ulishakiri kutokulirudia kosa na umelirudia.

Siijui Ban naiskia tu...sioni sababu ya kupigwa ban humu.
 
JF ukipigwa ban ukawaandikia pm ya kuomba msamaha na kukiri kosa wanakusamehe tu labda uwe ulishakiri kutokulirudia kosa na umelirudia.

Siijui Ban naiskia tu...sioni sababu ya kupigwa ban humu.
Comrade nakukumbusha tu kwamba lile shambulio lili lenga PERSONAL attack and SEXUAL harassment.
Sasa sijui kama kwa sheria za jf linaombeka msamaha.....
Anyways.......
Kubwa kuliko yote ni tumuombee arudi
 
JF ukipigwa ban ukawaandikia pm ya kuomba msamaha na kukiri kosa wanakusamehe tu labda uwe ulishakiri kutokulirudia kosa na umelirudia.

Siijui Ban naiskia tu...sioni sababu ya kupigwa ban humu.
Nani kapigwa ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…