Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Thanks my love..unanipa maraha ya dunia najihisi mfalme wa dunia [emoji173] [emoji173] [emoji173]
Acha nikupetipeti tuu sura iwe na nuru kila akutazamae avutiwe na wewe alafu unisaliti,[emoji17] ooooooh CHINEEKEEE i will buy a machine gun [emoji379] special for MICHEPUKO.
 
Acha nikupetipeti tuu sura iwe na nuru kila akutazamae avutiwe na wewe alafu unisaliti,[emoji17] ooooooh CHINEEKEEE i will buy a machine gun [emoji379] special for MICHEPUKO.
aseeh kumbe unanijali hivi my love, asante sana naaahidi kukuonesha upendo zaidi

Halafu usijali yule aliyekuwa ananifuatilia hapa hayupo[emoji4] [emoji5]
 
Nitumie jina na mwenzi wako nuwasajili haraka kabla nafasi hazijajaa

Jina lake
Umri
Mahali anapoishi
Namba yake ya simu
Umbo lake
Ngoja kwanza mkuu niandae taarifa sahihi.
 
weekend ndiyo hiyo aseeh siku zinayoyoma kamwaka kameshakata kiutani utani tu. Kina Asprin washatoka Moshi tupo nao Town tunachakarika.

Sitaki kuamini vyuma vimekaza hadi couple za humu ndani zimelala zingine zime seaze! mwaka Juzi ilikuwa ukikatisha humu 70% ya maneno ni baby love sweet honey na furaha za kufa mtu. Kulikoni mazee, tunapenda kuwaona tena mjue! Kwa uchache:-

The bold na Nifah!

The Bold na Nifah living together now! Nifah nimemkataza kuingia humu... drama nyingi sana humu JF. And that was the best decision ever... she is happier kuliko nimewahi kumuona before
 
Back
Top Bottom