Kapost wapi??Mbona kapost Tena wanamng'ang'nia
Domo alivo na sifa ivo angekuwa ashapost mm cyo hater sema tu labda show ilibumaHii inaonyesha ni kwa kiasi gani mnamfuatilia huyu jamaa,KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILITOKEA NDIO MAANA HAKUJAWA NA MAPICHA PICHA,LAKINI PINDI TATIZO LIKITATULIWA ZITATUPIWA KAMA KAWA. Na hiyo shoo ni katika shoo ambazo ALIJAZA SANA HAIKUPATA KUTOKEA.
Lakini nilivyoeleza hapo si umeelewa ....???Domo alivo na sifa ivo angekuwa ashapost mm cyo hater sema tu labda show ilibuma
Hata yeye anafuatiliaga wenzie ndo mana anajua awapost show zao,afadhali wewe umemsaidia kumsemea sababu ila yeye mpk kawasemea sababu za wenzie kutopost show zao ni jinsi gani alivyo karibu kufuatilia wenzieHii inaonyesha ni kwa kiasi gani mnamfuatilia huyu jamaa,KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILITOKEA NDIO MAANA HAKUJAWA NA MAPICHA PICHA,LAKINI PINDI TATIZO LIKITATULIWA ZITATUPIWA KAMA KAWA. Na hiyo shoo ni katika shoo ambazo ALIJAZA SANA HAIKUPATA KUTOKEA.
Kwahiyo ni kweli huwa hawaposti ............Kumbe huyu jamaa ni mkweli, bila shaka hata ile ya USHOGA wa yule mtu ni kweli. Hata kuhusu "pete ya kijani" ni kweli.( hapo lazima uje kukana maneno yako)Hata yeye anafuatiliaga wenzie ndo mana anajua awapost show zao,afadhali wewe umemsaidia kumsemea sababu ila yeye mpk kawasemea sababu za wenzie kutopost show zao ni jinsi gani alivyo karibu kufuatilia wenzie
Inawezekana ukafuatilia mambo ya wanaume halafu ukiona hauna unalopata ukajikuta unazusha tu vitu sababu ya chuki lkn asikwambie mtu vijana wa siku izi kwa mama watu wazima hawana mzaha ukijitia domo kubwa watakutag na vitaulo kashikilia kiuno cha mamio hata ney kajitia mdomo kaambiwa akamuulize ex wake na kwa maneno ya dmpoz ile juz jamaa itabidi amchunguze vzuri mama ake ili siku nyingine awe na uhuru wa kuongea in public, pete ya kijani sina jibu nalo coz mm sio mshirikina ila washirikina wanazijua kazi za izo pete ndo mana wameongea kuwashutumu wenzaoKwahiyo ni kweli huwa hawaposti ............Kumbe huyu jamaa ni mkweli, bila shaka hata ile ya USHOGA wa yule mtu ni kweli. Hata kuhusu "pete ya kijani" ni kweli.( hapo lazima uje kukana maneno yako)
Tatizo la kiufundi lilitokea? Kwenye camera Au? Eti Tatizo likitatuliwa picha zitatumwa....? WTFHii inaonyesha ni kwa kiasi gani mnamfuatilia huyu jamaa,KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILITOKEA NDIO MAANA HAKUJAWA NA MAPICHA PICHA,LAKINI PINDI TATIZO LIKITATULIWA ZITATUPIWA KAMA KAWA. Na hiyo shoo ni katika shoo ambazo ALIJAZA SANA HAIKUPATA KUTOKEA.
Naona rafiki yangu nilipo nawe upo basi poa,ni tatizo la kiufundi.Tatizo la kiufundi lilitokea? Kwenye camera Au? Eti Tatizo likitatuliwa picha zitatumwa....? WTF
Give us a break
Give yourself a break, nini tatizo kwani? Mambo uyafatilie mwenyewe afu uombe kupewa break. SMH.Tatizo la kiufundi lilitokea? Kwenye camera Au? Eti Tatizo likitatuliwa picha zitatumwa....? WTF
Give us a break
inahitaji mshirikina kumtambua mshirikina mwenzake.....Inawezekana ukafuatilia mambo ya wanaume halafu ukiona hauna unalopata ukajikuta unazusha tu vitu sababu ya chuki lkn asikwambie mtu vijana wa siku izi kwa mama watu wazima hawana mzaha ukijitia domo kubwa watakutag na vitaulo kashikilia kiuno cha mamio hata ney kajitia mdomo kaambiwa akamuulize ex wake na kwa maneno ya dmpoz ile juz jamaa itabidi amchunguze vzuri mama ake ili siku nyingine awe na uhuru wa kuongea in public, pete ya kijani sina jibu nalo coz mm sio mshirikina ila washirikina wanazijua kazi za izo pete ndo mana wameongea kuwashutumu wenzao