Nipo Dar, na when in Rome do as the romans do! Act as Mwanaume wa Dar
et mbona jamaa hajapost picha za show aliyosema atafanya uwanjani Mayote? picha zilizzopo ni za show ya VIP tu ambazo hata hivyo inasemekana watu walikuwa wachache
Je ni kweli kuwa hii show ya uwanjani ilibuma ndo maana jamaa kakauka, na kujifariji anapost vtu vingine vingine na karud kimnyakimnya??
et mbona jamaa hajapost picha za show aliyosema atafanya uwanjani Mayote? picha zilizzopo ni za show ya VIP tu ambazo hata hivyo inasemekana watu walikuwa wachache
Je ni kweli kuwa hii show ya uwanjani ilibuma ndo maana jamaa kakauka, na kujifariji anapost vtu vingine vingine na karud kimnyakimnya??