Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapokea kutoka wapi ?Umepokea kijiti!
Una Bando lakini?
Itakuwa ile comouter yenye documents iliungua😅Hii ilikuwa ni one of the major public interest criminal case, of public importance. Umma ulitegemea Jamhuri ikate rufaa.
Sasa kimya as if Sabaya hakutenda hayo matendo maobu. Umma unajua kuwa ALITENDA matendo ya kinyama against human beings, inakuwaje serikali isikate rufaa?
Mwenendo wa kesi hata kwa kijana wa IJA wa certificate ya law hapo Lushoto angeliweza ku sustain / upheld conviction ya magistrate's court.
If that is to be the case, Jamhuri inalea uhalifu.
Ila cha moto kakipata. Sidhani kama atarudiaUngeyajua yote wayatendayo wenzio sidhani hata kama ungeendelea kuwaona wengine ni marafiki na wandani wako. Sabaya hana kesi, imekwisha hiyo mengine kama yapo nenda kamshitaki wewe ebo!
Tulisema lakiniHayo yalikuwa maigizo ya kumfunga Mbowe bahati mbaya viongozi wa dini wakasanda
Ndiyo ukweli wenyeweTulisema lakini