Mbona gold hapeleki tuzo zake mjengoni kwa JPM?

Mbona gold hapeleki tuzo zake mjengoni kwa JPM?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
wakuu huyu gold alikua anapenda sana kupeleka tuzo magogoni enzi zilee lakini enzi hizi za MAGU hatujaona tena gold akipeleka tuzo zake magogoni kama enzi zileee. kwani kunani kule?
 
kijijini sio pa kuishi maisha yote labda uwe umestaafu. ha ha ha
 
JPM anapokea ng`ombe, hujuagi tu !!!!!!! Wewe nenda na ng`ombe pale utapokelewa.
 
We jamaa ni jipu... Unatuaibisha wanaume Wa dar es salaam.....
 
wakuu huyu gold alikua anapenda sana kupeleka tuzo magogoni enzi zilee lakini enzi hizi za MAGU hatujaona tena gold akipeleka tuzo zake magogoni kama enzi zileee. kwani kunani kule?
Tehe tehe tehe
1.Gold= Dhahabu
2. Diamond = Almasi
3. Silver = Fedha

Yupi huyo mbona hujaweka wazi mzee wa Dar?
 
Back
Top Bottom