Mbona hamumzunguzii Nungunungu Master?au mnasuburi mpaka achelewe kambini

Nungu nungu mkudeee jamaa namkubaligi sana asipochezagaaa sifurahi kbs mechi hasa kipindi kile lwanga alichukua nafac yk ,

Jana nimemckia kochaa msaidizi aliyeondoka juzi simba akisema alivyoenda simba aliwaita wachezaji mmoja mmoja akaongea nao,alimwambia mkude umri wakuchezaa mpira n mchache sana hvyo achaa mambo unayoyafanya yasiyokuwa na maana wekeza nguvu zako uwanjani,ndipo mkude mnamwona amenyooka now na anaupiga mwingi sanaa
 
Na kwa sasa yuko serious kweli
 
Hakuna kosa kubwa katika maisha kama lile la kuishi kwa mazoea! Yaani unapata kabisa ujasiri wa kuilinganisha Yanga/simba ya msimu huu na ile ya msimu uliopita!

Time will tell.
Ni kweli kabisa mkuu yaani Yanga ya River vs Simba ya Makundi Shirikisho inayoiwakilisha nchi kimataifa
 
Tumuone kwanzamechi za kimataifa kama ataendelea kurusha miba,kule ndo kipimo sahihi.
 
Ule ugonjwa wake aliotakiwa kwenda muhimbili alipona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…