Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma jamani !!
Arusha wanaume wengi wazuri utafikiri black americans ila meno sasa lol, me i go for Mwanza wasukuma wazuri jamani wamepanda kwa juu wana mamashine ya kufa mtu wanapenda mpaka utadhani zuzu, ila wakipata nyumba ndogo utatamani kukimbia hawakumbuki tena nyumbani,
kwa kifupi hawawezi kugawanya penzi wakifall kwa mwingine mapenzi yanahamia hukohuko we mama wa home utajijua. anaebisha aje na vidhibiti
u got no brain head n colonial era mind.....
shantel mimi msukuma lol unasemaje?
halafu we unaonekana mashine ndogo hupendi kabisa...
na hiyo blue lagoon,umewahi tazama filam yake?
shenma yisi
Umeona eee wasukuma wanyamwezi nafagilia zaidi
jamani hivi ni kweli wanaume wa kisukuma wana miguu ya watoto pale maeneo?:embarassed2::lol:
mkoa niliiolewa (MWANZA) ndio nadhani una wanaume wazuri ukifatiwa na ule niliotoka (KLM)
sura/masharobaro au mnamaanisha nini? Mashoga wapaka poda? Wenye pesa ,, wasomi , wachapa kazi, wakulima( wasukuma) or wapiga gahawa ? Au wala tigo?
Hata mie najiuliza hapa hapa,
Uzuri kwa maana ipi?
Arusha wanaume wengi wazuri utafikiri black americans ila meno sasa lol, me i go for Mwanza wasukuma wazuri jamani wamepanda kwa juu wana mamashine ya kufa mtu wanapenda mpaka utadhani zuzu, ila wakipata nyumba ndogo utatamani kukimbia hawakumbuki tena nyumbani,
kwa kifupi hawawezi kugawanya penzi wakifall kwa mwingine mapenzi yanahamia hukohuko we mama wa home utajijua. anaebisha aje na vidhibiti