Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Tumeshawajua na tunataka na kwa sura tuwajue pia!Bado tu tunajiuliza wasiojulikana ni watu gani?
Ni watu hatari snSio vibaya tukiona picha zao kwa wanaowafahamu! Je zinaonesha upole au zipo kam yule Chino wa kwenye Gazeti la Sani zamani?
Ndiyo hawa wanazunguka kutesa watu nchi nzimaBado tu tunajiuliza wasiojulikana ni watu gani?
Kuna mahali picha ya Kingai ilirushwa humu sasa sijui ni thread gani?Ndiyo hawa wanazunguka kutesa watu nchi nzima
Hao wapo kwenye Task force ya taifa ya kupambana na ugaidi, ni bora ukutane na simba kuliko hawa mabwanaHivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata?
Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.
Je, tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ?
Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Inatakiwa akamatwe haraka snKuna mahali picha ya Kingai ilirushwa humu sasa sijui ni thread gani?
Ndiyo wenye nchi wanataka kujua hiyo logic ya kumtuma askari from Dar kwenda Arusha, Moshi, Tabora nk kufanya kazi huko wakati huko kuna askari pia?Hayo ni mambo ya ndani ya utendaji wa PT.
Hayahitaji mjadala wa kisiasa!
Kuna shujaa aliyeshinda Adolf Hitler mkuu?? Mwisho wake ulikuwaje?? Tunaye leo?? Ana legacy gani kaacha??Hao ni Mashujaa, yaani Polisi ukisikia mtu anaitwa shujaa jua huyo ni katili aliye tayari kuumiza/kuua bila kujali utu.
Akamatwe na nan??Inatakiwa akamatwe haraka sn
Hata na weweAkamatwe na nan??
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile...mkiwaona muwapige maweHivi Kingai, Godluck, Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI, Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata?
Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.
Je, tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi?
Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima. Imekaaje hii. Napata Kigugumizi. Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi?
Huu utopolo sifanyi nyie fanyen huu ujinga wenuHata na wewe
Kama ndo wenyewe pole yao kwan hata mishe zao nyingi zilifeli bado kidogo nao watafeliIn short hichi ndiyo kikundii cha "wasiojulikana"