Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Wale wasiojulikana enzi za Magufuli walioua ndugu zetu na kuwafunga kwenye viroba Kisha kuwatupa baharin, misituni na wengine mpaka leo familia zao hawajui walipo mfano Ben Saanane, Azory Gwanda nk.