Mbona hizi dini zinachanganya?

Mbona hizi dini zinachanganya?

They say that heaven is a beautiful place but no one wants to die.

Everyone is praying for long life on Earth..[emoji1]
I usually think of these things critically...and surprisingly they are actually gathered everywhere to pray for him not to die, Leader of Catholicians
 
Mungu hayupo mkuu.

Angekuwapo watu wasingeijua internet ya bando ikoje.

Kila mtu angekuwa anagonga unlimited ya kampuni ya simu na unlimited ya WiFi kama mimi tu.

Kama yupo, kwa nini anipendelee mimi nisiyemuamini halafu wanaomuamini wengine wawe wananuka umasikini hata bando wapate kwa manati na wengine wana viswaswadu vimepasukapasuka vioo ni hatari kwa afya zao lakini wanadunda navyo tu?
[emoji23][emoji23][emoji23] it's funny but I don't think they can understand you ..
 
Mwandiko wako wako tu unaonyesha wewe ni wa mudi. Kwaresma huijuwi. Acha kejeli kwenye uhai wa mtu. Kufa wewe kwanza kama ni sifa.
True knowledge exists in knowing that you know nothing.
 
Sijawahi kutumia internet ya bando mkuu. Labda nikija likizo Tanzania ambako nako nina option ya mitandao ya Kimarekani.

Mimi natumia unlimited internet. Halafu nina unlimited internet nyingine ya WiFi.

Bando hata mnavyoweka sijui.
Master kabisa
 
PAPA Francis anapigania maisha huko ICU yaani hataki kwenda mbinguni [emoji1787]

Izi DINI sometime zinachanganya sana sasa papa hataki kwenda mbinguni nani anataka? kama papa hataki?...

Kwaresma NJEMA.
Papa amemchungulia malkia hajamuona
 
Back
Top Bottom