ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Nyie mkimwaga mboga tunamwaga ugali, akili inarudi mahali pake. 2,000/- ya kenya hiyo hongo ya nini? Mnaona fahari kutaja Tanzania ngeke nyie
Kama ni Kenya ina makosa basi serikali ya Kenya ijirekebishe. Biashara lazima iendelee, Covid-19 isilete chuki baina ya nchi hizi mbili.