Kama ni Kenya ina makosa basi serikali ya Kenya ijirekebishe. Biashara lazima iendelee, Covid-19 isilete chuki baina ya nchi hizi mbili.
Ndio. Kwa nini unauliza?
Solution ni kujenga bandari kavu wakenya wawe wanachukulia mizigo yao pale mpakanihuo mpaka ufungwe kabisa hadi watu waheshimiane,la sivyo utafunguliwa kesho usikie malalamiko tena.ila wabongo msijali rushwa kwetu ni kipaji yani
Mimi sitaki bado kuunga mkono hilo kwa sababu (1)Nia yetu ni kuongoza Kiuchumi katika Kanda na kwa bahati nzuri mshindani wetu ndie anaetupa Mabilioni ya dolla kila mwaka kupitia Biashara ...so mambo ya bandari kavu yatachelewesha na ku discourage biashara Nyingi.....Tutafute njia mbadala.Solution ni kujenga bandari kavu wakenya wawe wanachukulia mizigo yao pale mpakani
Huyo MK254 hawezi kukiri hata siku moja..yule yupo kazini...
Ndiyo maana ni AKA nyang'auWakenya roho zao hazina tofauti na wanyama,ndio maana ukabila kwao autoisha milele
[emoji23][emoji23]Namuagiza Magufuli awaambie JKT wajenge ukuta kama.ule w mererani au ule Wa Trump mexico and Kenyans will pay the cost
Kama ujapeana pesa ksh2000 andikia hiyo tzii positive hakuna kukanyanga kenyaHili la kutoa pesa ili dereva wa Tanzania aruhusiwe kuingia kenya inaonyesha ni namna gani yale majibu ya positive ya kipindi kile kwa watanzania ilikua ni njia ya kujenga mazingira ya rushwa,maana madereva hao hao walionekana positive upande wa kenya walipopimwa tena upande wa Tanzania wakakutwa negative,wakenya acheni rushwa itakuja kucost kizazi na kizazi chenu
Unataka kuleta usaliti Kenya wewe!!!??? Ujui rushwa ni "Kikuyu mentality"Hamna namna ila sisi pia tuwe serious kama Wakenya. Tuwache mambo ya hongo
Mimi sitaki bado kuunga mkono hilo kwa sababu (1)Nia yetu ni kuongoza Kiuchumi katika Kanda na kwa bahati nzuri mshindani wetu ndie anaetupa Mabilioni ya dolla kila mwaka kupitia Biashara ...so mambo ya bandari kavu yatachelewesha na ku discourage biashara Nyingi.....Tutafute njia mbadala.