Hii picha ya bunge la Tz niya zamani. Hapo naona ata maua na miti ilikua bado haijastawi.Kenya Parliament Building
View attachment 1109376
Tanzania Parliament Building
View attachment 1109377
Ongea ukweli Ikulu ya Kenya ni km hostel za Magufuli [emoji3]Kama yetu ni godown basi yenu ni choo cha mchawi.
Bonge moja la ikuluDuh!!
Siku hizi Mstikini unakuwa namna hii?
Tanzania State Hause:-
View attachment 1109392
Ipo hapa kwenye pesa ya TZ
View attachment 1109394
Hili jengo limejengwa na mzungu mkuuHiyo ya Tanzania inakaa msikiti fulani hivi, nyie waarabu walishawameza.
Kenya is failing on every thing [emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
La kawaida lakini linafanya mambo makubwa kuliko jengo letu zuri.Hata jengo la bunge Lao ni la kawaida
Mkuu umenisikitisha Sana. Ukumbi wa Bunge la Tanzania ni mzuri na wa gharama Mara elfu ya ule wa mabunge ya uingereza, lakini ndio Bunge lenye vilaza wengi kuliko mabunge yote duniani[emoji39][emoji16]
Ulitaka tuoteshe minazi au?Kenya Parliament Building
View attachment 1109376
Tanzania Parliament Building
View attachment 1109377
Ilikuaje state house ya Uganda na Kenya zikawa zinafanana kama mapacha! Halafu hii yenu ilikua inatumika kama dormitory ya shule ya wakoloni, watoto walikua wana kojoa kojoa humo ndani. Hii ni aibu ninge washauri mjenge nyingine maeneo ya Kajiado kuepuka hizi aibu ndogo ndogoIts called class, people.
Mkuu wewe utakua unajicho kali sana. Umepita mule mule au hii story ulikua unaijua. Hiyo ilijengwa kuwa dormitory ya shule ya mabeberu.Hiyo ikulu ya Kenya kama shule ya sekondari hivi
Kenya State House
View attachment 1109366
United Republic of Tanzania State House:-
View attachment 1109367
Alafu nasikia huku ni nyuma. Mbele ni kule kunapoangaliana na bahari!Duh!!
Siku hizi Mstikini unakuwa namna hii?
Tanzania State Hause:-
View attachment 1109392
Ipo hapa kwenye pesa ya TZ
Kenya Parliament Building
View attachment 1109376
Tanzania Parliament Building
View attachment 1109377