Ilijengwa na germans buda, german na mosque wapi na wapiOne looks like the Greek Parthenon.
The other looks like an Arab mosque.
Mh, Basi macho yako imepigwa upofu wa patriotism, ita mtt wako mdogo muonyeshe hizo picture mbili, mwambie anapenda ipi, utapata jibu.I see why it would seem so to people without class.
First of all, its not a palace. It's the presidential office. The only president who has ever slept there is Kibaki.
Secondly, it's not the best looking presidential residence in the world, but it is hundreds of times better-looking than that mosque in Dar.
Dom is the capital, iyo mnaoneshwa ni ya dsm, ya kwenu ya nai inakaa inafanana na ya mbeya.Lol.. Maskini milioni 60 na mnaongea kuhusu kujenga ikulu zingine?
Upumbavu mkubwa.
Kenya tumetosheka na ikulu iliyojengwa 1907. Hatujengi ingine.
Na kama wakoloni hawangejenga hio ikulu Nairobi, raisi hapa angetafutiwa apartment kama Prime Minister wa UK. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
It is germans.Vipi waingereza wakajenga jumba la kifahari Nairobi, na msikiti Dar? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Basi ni kweli wanavyosema. Kenya ilikuwa ndiyo crown jewel yao Africa.
Hiyo wikipedia itakuwa iliandikwa na mkenya.Wewe na Wikipedia nani anaongea ukweli?
Wikipedia inasema jengo lilijengwa na British Governor Horace Byatt mwaka 1922.
Architect alikuwa John Sinclair.
View attachment 1109589
Hamna kitu hapo, imekaa kama hostel ya braeburn school, arusha branch
Kwaupeo wako unaona zile ndio mzee ni nguvu yabushawishi? Stupid
Misikiti inajengwa kama castle na watch towers kweli mungiki hamjielewi kabisaWewe kweli akili umepoteza wapi?
State House ama presidential palace ni jumba la kuonyesha nguvu/power. Sio ukumbi wa maombi kama hio ya Tanzania.
Na kuna majumba mengi ya kibinafsi ambayo ni makubwa kuliko palaces.
State House ama palaces mingi ziko na Greek-style pillars? Waanzilishi wa demokrasia.
Hiyo yenu ya Tanzania ni wannabe wa zile golden palaces za middle east. Lakini ata haikaribii. Haivutii kusema kweli.
kingine ikulu yetu ilijengwa na wajerumani, yao ilijengwa na waingereza, hivyo iko nje ya uwezo wetu na wao kusema tulijiamulia ikulu ziwe hivyo
na kuhusu bunge lao lilijengwa na waingereza, ila letu tumejenga wenyewe karne ya 21 hivyo kwa kuwa letu ni la juzi tu ni dhahiri litakuwa la kisasa
We bwege hilo jengo kajenga mjerumaniBecause his family house literally shares a wall with State House.
Obviously the colonialists in Tanzania took inspiration from Arab houses. Unfortunately Arab houses are not usually beautiful.
Mh, Basi macho yako imepigwa upofu wa patriotism, ita mtt wako mdogo muonyeshe hizo picture mbili, mwambie anapenda ipi, utapata jibu.
Castle la kiarabu ....msikiti hilo.Misikiti inajengwa kama castle na watch towers kweli mungiki hamjielewi kabisa
We jamaa sio mzalendo kabisa hii ni ligi ujue au mwenzetu ndio wale watanzania wenye asili ya asia wana ikulu ya magogoni na delh
Hiyo wikipedia itakuwa iliandikwa na mkenya.
Hahaha! π Eti Braebun School, hivi unajua wamiliki wa mashule ya Braebun ni kina nani? Au wewe uliona tu Arusha Branch ukajua ni ya watanzania? Braebun Group of Schools zinamilikiwa na wakenya. The jokes on you! [emoji1]Hahaa, i answered a guy that it looks like braeburn hostels of arusha, alafu nakutana na hii. Duh.
Hamna kitu hapo, imekaa kama hostel ya braeburn school, arusha branch
nasikia nyumba ya Ruto ni bora kuliko ikulu ya KenyaLa kawaida lakini linafanya mambo makubwa kuliko jengo letu zuri.